Wanaume wenzangu msitume nauli

Wanaume wenzangu msitume nauli

kuna ukweli aisee...mwendo wa boda boda buku 2 tu mtu anataka buku 30 dah!
Ukicheki hata anapoishi hakuna tax wala bajaji....
 
Kama demu hujawahi mkaza hata mara moja usimtumie nauri ili aje. Nimepokea malalamiko toka kwa wadau kibao kuwa mademu wengi siku hizi wanaomba watumiwe nauri lakini wakishatumiwa hawafiki eneo la tukio. Watasingizia visababu kibao vya kijinga.
mimi kama mwenyekiti wa WWI ( wazee wa importation) nimechoka kusuruhisha migogoro ya aina hii kwa hiyo nasema, "usitume nauri kwa manzi aliyembali kama hujawahi kumkata hata mara moja".

Ni hayo tu.
Kuna demu nimemtumia nauli leo ili aje maeneo ya ilala ili tukuch kuch mpaka muda huu hajaja
Sasa hivi ananiambia amepatwa na dharura
 
Kama demu hujawahi mkaza hata mara moja usimtumie nauri ili aje. Nimepokea malalamiko toka kwa wadau kibao kuwa mademu wengi siku hizi wanaomba watumiwe nauri lakini wakishatumiwa hawafiki eneo la tukio. Watasingizia visababu kibao vya kijinga.
mimi kama mwenyekiti wa WWI ( wazee wa importation) nimechoka kusuruhisha migogoro ya aina hii kwa hiyo nasema, "usitume nauri kwa manzi aliyembali kama hujawahi kumkata hata mara moja".

Ni hayo tu.
unajikuta mzee demu mwenyewe hata hujawahi kumwona umedata tu na sauti kwenye simu. . . Fasta mwanangu unakopa hela kwa mshikaji unatuma nauli afu simu inazimwa. . . Unabaki umekodolea simu mimacho unasubiri kama atakupigia walau aseme nimepata. Kimyaa
 
Kuna demu aliniomba nauli aje songea ye anakaa morogoro nilivomtumia ndio ikawa mwisho wa mawasiliano.... Ikapita miez 3 akanitafuta tena na kuleta visingizio visivo na kichwa wala miguu kisha akasema nimtumie tena saiv yuko free atakuja

ITAENDELEA
Atafutae hachoki hata akichoka anakuwa keshapata, tuma tena
 
Back
Top Bottom