Wanaume wengine wamejaliwa

Wanaume wengine wamejaliwa

Proffesor anasema 4 hours n kawaida sana... kwan tatizo lipo wap watu wanakwenda had masaa 8 non stop. .. achen uvivu...!?
 
Masaa manne hadi saba ni muda mrefu?

Akakimbia badala ya kumshauri aongeze mwenza?? Kama hawajapata mtoto hairuhusiwi mke kuvaa pichu bana wala kwenda enda kisimani na kukaa mda mrefu. Ndo maana wale wamama wenzake walio komaa wakampeleka chemba kumfunda mbinu atii. Naamini alirudishwa saa ile ile na walianzia pale pale kwa wakwe. Loh! Ati masaa manne hadi saba ni mda mrefu. Ptuuuu
 
Ulimaanisha dakika 4 mpaka saba au sekunde 4 mpaka saba , vitako viwili kwishney ndio maana Binti kakimbia
 
Proffesor anasema 4 hours n kawaida sana... kwan tatizo lipo wap watu wanakwenda had masaa 8 non stop. .. achen uvivu...!?

Mungu wangu eti 4hours duu..mimi ukipitiliza saana nusu saa ila mambo ya kunibinuabinua 4hrs nitachomoa dushe upizie hewani..
 
Mungu wangu eti 4hours duu..mimi ukipitiliza saana nusu saa ila mambo ya kunibinuabinua 4hrs nitachomoa dushe upizie hewani..

Proffesor anasema.... four hours n ndogo sana aisee.. uanzie kwenye bed, ushuke sakafuni , kwenye sofa, bafuni ', jikoni ... mbona masaa nane yana fika note.. three times per week.. not every day..
 
Masaa saba mbona madogo hayo , wengine kutwa nzima na bado hatutocheki
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom