Idhae
JF-Expert Member
- Aug 6, 2014
- 609
- 277
Nina rafiki yangu mmoja aliniomba nimsindikize kijijini kwao. Tulipofika huko tulikuta binti wa jirani na familia yake kamkimbia mumewe baada ya miezi mitatu ya kuolewa.
Wazazi wa pande zote mbili walikuwa wamekusanyika ili kutafuta suluhu.
Binti aliulizwa chanzo cha kumkimbia mumewe lakini alikuwa mzito kukieleza, baada ya kubanwa alisema hivi 'mimi mume wangu kila mara anataka tendo la ndoa, na hufanya kwa muda mrefu masaa 4 hadi 7' mwisho wa kunukuu.
Wakina mama watu wazima waliokuwepo walimwita chemba, na hatukujua waliongea nini na hatma yao hatukuijua kwani tuliondoka.
WAKATI WANAUME WENGINE WANAONEKANA DHAIFU KWA KUKOSA NGUVU ZA KIUME ZA KUTOSHA, WENGINE WANAKIMBIWA KWA NGUVU KUWA NYINGI
Ama kweli wanaume tumetofautiana
Wazazi wa pande zote mbili walikuwa wamekusanyika ili kutafuta suluhu.
Binti aliulizwa chanzo cha kumkimbia mumewe lakini alikuwa mzito kukieleza, baada ya kubanwa alisema hivi 'mimi mume wangu kila mara anataka tendo la ndoa, na hufanya kwa muda mrefu masaa 4 hadi 7' mwisho wa kunukuu.
Wakina mama watu wazima waliokuwepo walimwita chemba, na hatukujua waliongea nini na hatma yao hatukuijua kwani tuliondoka.
WAKATI WANAUME WENGINE WANAONEKANA DHAIFU KWA KUKOSA NGUVU ZA KIUME ZA KUTOSHA, WENGINE WANAKIMBIWA KWA NGUVU KUWA NYINGI
Ama kweli wanaume tumetofautiana