Real love is kind, patient, giving, generous, and endless.jamani mie nataka kuuliza wanaume wanawezaje kufukuzia demu kwa muda mrefu au kutumia pesa katika kutuma sms au kumtoa outing na vizawadi vidogo vidogo? mie nimejaribu lakini baada ya siku 3 niboreka au naona kama napoteza uda na mapenez