Ahahaha, weeh dada mbona mgomvi? Hawajatimiza ahadi? Mie namngojea Excel hapa ananipeleka brazil kuangalia world cup all possible matches kutegemeana na ratiba. Bata batani!
hvi unakutanaje na msichana mara ya 1 hata humjui unamuomba namba ya simu?....una uhakika gani kua ni mtu?...alafu kuna wengne hawajiamini ktk kutongoza anadai atakununulia hiki na hiki au atakupa kazi kama huna....ndipo mlipofikia hapo....
halafu husomeki kabisa siku hizi kumbe ahadi ya brazil inakuzingua....
hvi unakutanaje na msichana mara ya 1 hata humjui unamuomba namba ya simu?....una uhakika gani kua ni mtu?...alafu kuna wengne hawajiamini ktk kutongoza anadai atakununulia hiki na hiki au atakupa kazi kama huna....ndipo mlipofikia hapo....
Ufafanuzi unahitajika hapa!....una uhakika gani kua ni mtu?....
hvi unakutanaje na msichana mara ya 1 hata humjui unamuomba namba ya simu?....una uhakika gani kua ni mtu?...alafu kuna wengne hawajiamini ktk kutongoza anadai atakununulia hiki na hiki au atakupa kazi kama huna....ndipo mlipofikia hapo....