Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,445
acha kabisa.....maneno mbaya hii.....
mwenyewe jogoo hawiki mpaka ashtuliwe na tope
acha kabisa.....maneno mbaya hii.....
heri msiwe nazo muache uchangudoa..
hii itakuwa ni natural way ya kupunguza maambukizi mapya ya ukimwi..
ukisimamisha kimoja leo hadi mwakaniii .....safi
heri msiwe nazo muache uchangudoa..
hii itakuwa ni natural way ya kupunguza maambukizi mapya ya ukimwi..
ukisimamisha kimoja leo hadi mwakaniii .....safi
kweli kabisa wanaume wengi hatuna nguvu na inasababishwa na mambo mengi vyakula,ugumu wa maisha na wamawake wenyewe unakuta ofisin mwanmke kajaliwa hips halafu kavaa min ikiinama shida akikaa mbele yako tabu tupu sas wanaume tumeshazoea kuona maumbile ya kike kiholela kwa hiyo kunakuwa hamna cha ajabu hata hisia zinaisha zaman kuona chupi ya mwanamke ni ishu leo hii majumba chupi zote zinaanikwa sehemu moja hata ukiwa kwenye daladal lazima uone chupi in short macho yamezoea kuona maumbile ya kike ya siri ndio maana wadhungu wananyonyona sana ili kuweka ile kitu stable
tema mate chini Smile.....
heri msiwe nazo muache uchangudoa..
hii itakuwa ni natural way ya kupunguza maambukizi mapya ya ukimwi..
ukisimamisha kimoja leo hadi mwakaniii .....safi
naunga mkono hojaHawa Jamaaa kweli shule yao haiwasaidii...ratio ya Tz inaruhusu,nina wanawake wa4, acha nightstand ..niwapige 3 x 4/week ????? Its obvious watapigwa Moja moja wote..ya Nini Nijichoshe wakati Urithi wetu ..Mambo ya Kumpiga 3 au 4 hayapo siku izi.
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Huoni hata huyu jamaa anataka kujihakikishia uimara kabla muhusika hajafika...............!
unapenda mara tatu kwa siku eeeh utajiju inakuja dozi mpya 1x i year
Bondpost na ndio sababu waganga wa miti shamba wanaouza dawa za nguvu za kiume wameongezeka kwa sababu wanaume tunatafuta nguvu za kiume za ziada na sio kwamba hazipo...........Wengi hawana nguvu ile lukuki wanazo mpaka wanagaia machangudoa, nyumba ndogo, mashemeji, mama mkwe, mama mwenye nyumba, mawork mates! Kama ndo hivyo hata machangu wasingekuwepo! Huyo dokta anataka promo, watu mpaka wife anaomba likizo?
Watu hawajiamini,mwanamme kamili bao la kwanza ni ndani ya dakika 1 hadi tano,sasa watu wamemezeshwa sumu kwamba lazima uende nusu saa bao 1 ukienda chini ya hapo basi una upungufu wa nguvu za kiume,wanaume tujiamini,kama unataka kupiga bao moja kwa nusu saa zipo njia natural(withdrawal) na great foreplay na si kutumia madawa,achaneni na hayo madawa.
heri msiwe nazo muache uchangudoa..
hii itakuwa ni natural way ya kupunguza maambukizi mapya ya ukimwi..
ukisimamisha kimoja leo hadi mwakaniii .....safi
Bondpost na ndio sababu waganga wa miti shamba wanaouza dawa za nguvu za kiume wameongezeka kwa sababu wanaume tunatafuta nguvu za kiume za ziada na sio kwamba hazipo...........
Sasa kama demand iko juu tutafanya nini.................!