Wanaume wengi nchini hawana nguvu za kiume

naombeni kuuliza, ukosefu wa nguvu za kiume una maana ipi, je ni
  1. wanaume kumaliza mechi mapema?
  2. wanaume kutowafikisha wanawake zao kileleni?
  3. wanaume kununua dawa za kuongeza nguvu?
kama sio hizo hapo juu, je ni sababu ipi nisiyoijua maana sijasikia hii kwa rafiki zangu wa karibu hivyo sielewi hii mada ina ukweli kiasi gani

Non of the above!!

... Number one and two ... "Its all n the victims mind!"

... Dawa kununuliwa kwa wingi doesnt "justify" kuwa wanunuaji hawana nguvu ... ila mara nyingi uwezakano mkbwa ni kwa ajili ya ku "empower lust"
 
Halafu maongezi yake ni kuwa alienda savannah, mara sijui blackberry yangu, mara ipad! Marafiki zake unakuta ni mamiss au madesigners! Kila ukimkumbatia anataka umuwekee mikono kwenye mas.a.bu.ri, anavaa visuruali taiti! Anapaka lip shine na akienda saluni anasugua kucha, miguu nk! Hapo anza kumfatilia nyendo zake utakuta 'mtoto anachezea umeme watu wanaunganisha manetwork tu!'. We ukimuona hivyo tu, wakati wa majamboz akikaribia ku-burst piga cha kati utamjua tu. Maana dume halisi lililozaliwa vyema na mamaye hata ukishusha mikono kupapasa kule masaburini atakuwa uncomfortable!
mkuu Bondspot nakugongea ma-like ya kutosha! yaani Smile hapa tumekwambia kila kitu kuhusu mapunga! utaliona tu hata ongea yake, linarembua macho, we mtoto wa kiume unabana pua, unarembua macho haiingii akilini! yaani kwa kweli huwa yanatia kinyaa! puuuuuuuuuuu!
 
Last edited by a moderator:
Kwel! Uktaka kujua hlo,weka 2 leo tangazo la kuwa unauza dawa za nguvu za kiume ..utaona wa2 wanavyokuja kwa wngi

shughuli inataka peace of mind, watz wanastress ya ugumu wa maisha hivyo jongoo hawezi kuwa na nguvu ya kupanda mtungi, jadilini kutafuta chanzo cha tatizo kwanza siyo kukimbilia tiba. udhaifu huu tunao mpaka kwenye utawala na utekelezaji.
 
mkuu Bondspot nakugongea ma-like ya kutosha! yaani Smile hapa tumekwambia kila kitu kuhusu mapunga! utaliona tu hata ongea yake, linarembua macho, we mtoto wa kiume unabana pua, unarembua macho haiingii akilini! yaani kwa kweli huwa yanatia kinyaa! puuuuuuuuuuu!

Smile kitu kingine nikwambie epuka sana wanaume ambao ni mahandsome kupitiliza, halafu wanafanya mazoezi ili kupoteza kuwa wao ni mapunga, na wasafi kupitiliza, yaani malotion, maperfume na madeodorant ya kufa mtu, mmmhhhhh wengi wao ni mapunga! nakwambia tu usije ukaangukia, tafuta tu mwanaume mwenye sura ya kiume, yaani nadhani unanielewa, yaani hata mkitoka inajulikana nani baba, nani mama! na first do yako na wewe kagua angles zote mpaka chamba kama marinda yamekamilika! chunga sana usije olewa na PUNGA! lol! lord have mercy!

punguza kashfa mkuu, unaweza kueleza bila kutumia lugha kali.
 
asee tatizo ni kubwa ukizingatia madaktari wote wanaojitokeza wanapata wateja
 
mimi nguvu nilizonazo zanitoshana mpenzi wangu huridhika na mkito... sina shida na hilo kabsaaaaa......
 
Wanaume wengi siku hizi ni majoka ya Kibisa.

mi nafikiri ni hii midawa na mivyakula tunayokula toka nje ndo yasababisha hili... wanaweka ingredients za kufanya wanaume wsisimamishe ili adhma yao ya kishetani ya kugeuza mameni woote wawe mashoga itimie... its a wish from the evil kingdom....and the freemasons..
 
Niliwahi kuweka uzi hapa kuhusu jambo hilo, wanaume wenzangu wakanitolea povu kwa hasira, lakini kwa kuwa aliyesema maneno hayo ni Kaimu Mkurugenzi msaidizi wa Kitengo cha Tiba Asilia kutoka Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii naamini mtamuamini ..........

Mkitaka kusoma uzi huo mnaweza kubofya hapa chini:

https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/253795-asilimia-52-ya-wanaume-hapa-nchini-siyo-rijali%85%85%85.html
Mtambuzi,kwa maana hiyo for every two men mmoja jogoo halipandi,in other words kati ya ngu mimi na wewe baba canta mmoja wetu niniliyu imekufilia mbali?
Is it me or you?
 
heri msiwe nazo muache uchangudoa..
hii itakuwa ni natural way ya kupunguza maambukizi mapya ya ukimwi..
ukisimamisha kimoja leo hadi mwakaniii .....safi
Smile umeolewa au una mchumba kweli? kama umeolewa au una mchumba naomba usiombee awe na tatizo hili kwani kwa kauli yako hii naamini bado hujui madhara yake kwenu ninyi WANAWAKE. Kama hali itaendelea hivi basi MIDOLI ndio itakuwa WANAUME ZENU and then KIZAZI kijacho ni sifuri
 
Withdrawal method unastuaaa weeee wazungu wakianza kuja una-withdraw machine kutoka amboni craters then unamwagia nje,then unafuta fasta fasta unaendeleza libeneke mpaka mda ambao utaona anakaribia kufika kibo ndio unashushia humo humo.

King Kong III.
Wewe balaa nimechukua haya maujanja tayafanyia kazi.
 
Last edited by a moderator:
Kwa ukweli tumeumbwa tofauti. Mie maishani mwangu sijawahi kwenda bao saba sijui kumi hata sijui nyie wenzangu inakuwaje?? Si kunakuwa na mafuriko ya zile mchuzi? Kitu inapigwa foreplay kama dk ishirini then bao la kwanza ni 40 minutes, ukiwa na ukame unaunga hapo ndipo anaomba apumzike maana kuna dk30 nyingine. Kama ndo naye wa ukweli mkipumzika ukaja kupiga round ya tatu baada ya kunywa wine au kawhisky kidogo na kurembana kidogo ndo atajuta! Kwa kweli ndugu zangu wanaume jitahidi usimalize fastafasta yani huwa naona ni jinsi gani mwenzako anavyokuwa disappointed, yeye ndo anasubiri utwange huku unakoroga na kusugua ili amalize ghafla chorororororoooo! I can imagine unavyomkata stimu hata ukipiga ya pili sijui kama unammaliza. Inatakiwa we ukimaliza moja mwenzako kapiga mbili au tatu yani unakuta ile round yako ya pili mwenzako anakupa wewe kama discount maana anakusubiri umalize labda apige kamoja flani. Raha ila jamani.

Haka ndo ka utaratibu kangu na ukikaweza yani kama ni mke hatoki nje tena
 
Watu hawajiamini,mwanamme kamili bao la kwanza ni ndani ya dakika 1 hadi tano,sasa watu wamemezeshwa sumu kwamba lazima uende nusu saa bao 1 ukienda chini ya hapo basi una upungufu wa nguvu za kiume,wanaume tujiamini,kama unataka kupiga bao moja kwa nusu saa zipo njia natural(withdrawal) na great foreplay na si kutumia madawa,achaneni na hayo madawa.

Jamani acha hizo, dume la mbegu bao1 kwa dakika 1? hapana. mimi mpaka aombe maji ya kunywa ndipo linashuka! ha ha!
 
Kutokuwa na nguvu za kiume kuna maana gani? kutofika mshindo? kutokuwa na mbegu imara kusaidia uzazi? au?

Ha hizi tafiti zitasaidia zaidi wakiwapa wanaume utatuzi wa hilo tatizo. Poleni walengwa!
 
Wanaume acheni kula chips. Maana kwa kweli kumpa mambo mkeo kwa uhakika kesho yake lazima upewe supu, mayai n.k hata kama kaficha elfu 10 mahali lazima iletwe ili uandaliwe mapochopocho mazuri. Lakini kama humpi mambo anakuona kenge tu. Kwa wahaya lazima umpige maji mpaka aamke kubadilisha mashuka na godolo liwe upside down.
 
Kutokuwa na nguvu za kiume kuna maana gani? kutofika mshindo? kutokuwa na mbegu imara kusaidia uzazi? au?

Ha hizi tafiti zitasaidia zaidi wakiwapa wanaume utatuzi wa hilo tatizo. Poleni walengwa!
ni kushindwa kusimamisha uume haswa wakati wa tendo la kujaamiiana....yaani uume kutosimama hata baada ya jitihada zako za foreplay....by the way you from st.petersburg??really??....privet!!! ya zhil vu peterburg toshe.....ti isho tam??kak tam vu abshee!!l ya ochin lublyu russiya....davai pogavarim!!
 
Dawa ya nguvu za kiume ni demu muhangaikaji...kama demu anajua wajibu wake, ngoma inaweza kukesha usiku kucha...
 
Back
Top Bottom