Wanaume warefu weupe

Wanaume warefu weupe

Sasa kwa nini muwapondee ati. Mti wenye matunda ndio hupigwao Mawe. Ila majamaa yana mbegu bora sana mkifyatua mtoto anakuwa wa ukweli ndio maana wanawake wengi wanawapapatikia wanaishia kupigwa alafu kisha wanaanza kuwaponda kama mtoa mada.
Kama wewe mweupe(papai) Pole sana, wapo wanaowapenda aiseee, kitu Black kirefu mwili wa kiume lazima chupi ilowe.
 
Kwa utafiti nilioufanya wanaume warefu weupe wanajisikia sana tena wanajiona wao ndo wazuri na si ajabu mwanaume mrefu mweupe akajisifia kuwa yeye ni mzuri wakati uzuri wa mwanaume ni pesaa na utafutaji pia wengi wao wana tabia za kike yani unakuta mwanaume mmbeammbea ana vimisemo vya kike na tena kitandani ni zero wenyewe ni vua nichomeke kwa mnaofahamu mtaungana nami.note;sio wote ila asilimia kubwa wapo hivo.
Nna wcwc unawakubali kupita maelezo ila una bakhti mbaya nao sana!
 
Nyie semen muonavyo but ukweli utabaki palepale na wahusika wanajijua kabisa na hayo wanayafanya sijatendwa wala nn na kwanza siwez shobokea hao coz hawanivutii hataa me napenda chocolate color na weusi sio hao watu aisee tena mwingine unakuta weupe wenyewe mbaya kama sabuni za komoa lakini linajisikia ka limwanamke chefuuuu
Aiseee ungekuwa karibu walah ningekununulia kinywaji chochote utakacho.
 
Kuna ukweli. Wanaume weupe huwa wanajisikia sana wengi wao.....
Isiwe tabu jamani tuacheni na weupe wetu na kuringa kwetu na urefu wetu.....wahini mapemaaaa kwa HARMORAPA maana anavyo vigezo opposite na tulivyonavyo...mfupi mweusi haringi n ontop of that he is handsome.
 
Kuna ukweli. Wanaume weupe huwa wanajisikia sana wengi wao.....
bcacae2d4818ee3bbebf5a3090b87426.jpg
 
Kama wewe mweupe(papai) Pole sana, wapo wanaowapenda aiseee, kitu Black kirefu mwili wa kiume lazima chupi ilowe.
Kipenda roho hula hata nyama mbichi. Kikubwa tuheshimiane ktk chaguzi
 
Hivi neno UTAFITI linatumikaje siku hizi!!!! Au ni ile mtu akipigwa kibuti na mwenza wake kwa matatizo anayoyajua yeye basi ni utafiti!!!
 
Aiseeeee!! Utafiti oni fuliki!!

Sina experience nao, so kanti tell.
 
Kwa utafiti nilioufanya wanaume warefu weupe wanajisikia sana tena wanajiona wao ndo wazuri na si ajabu mwanaume mrefu mweupe akajisifia kuwa yeye ni mzuri wakati uzuri wa mwanaume ni pesaa na utafutaji pia wengi wao wana tabia za kike yani unakuta mwanaume mmbeammbea ana vimisemo vya kike na tena kitandani ni zero wenyewe ni vua nichomeke kwa mnaofahamu mtaungana nami.note;sio wote ila asilimia kubwa wapo hivo.

Wacha we, utakuta ulionesha dalili za kumtaka mkaka ambae ni mrefu na mweupe, halafu akakupotezea kimtindo au akakukataa kabisa ndo maana ukaja humu kumuanzishia thread Principle girl
 
Isiwe tabu jamani tuacheni na weupe wetu na kuringa kwetu na urefu wetu.....wahini mapemaaaa kwa HARMORAPA maana anavyo vigezo opposite na tulivyonavyo...mfupi mweusi haringi n ontop of that he is handsome.
Huyo hata afungwe kwenye gift paper awekwe ndani ya gari la maana hapana.... .
Mi nshajiwahia mrefu wangu siku nyingi ila sio mweupe, endelea kuringa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom