Kama wewe mweupe(papai) Pole sana, wapo wanaowapenda aiseee, kitu Black kirefu mwili wa kiume lazima chupi ilowe.Sasa kwa nini muwapondee ati. Mti wenye matunda ndio hupigwao Mawe. Ila majamaa yana mbegu bora sana mkifyatua mtoto anakuwa wa ukweli ndio maana wanawake wengi wanawapapatikia wanaishia kupigwa alafu kisha wanaanza kuwaponda kama mtoa mada.
Nna wcwc unawakubali kupita maelezo ila una bakhti mbaya nao sana!Kwa utafiti nilioufanya wanaume warefu weupe wanajisikia sana tena wanajiona wao ndo wazuri na si ajabu mwanaume mrefu mweupe akajisifia kuwa yeye ni mzuri wakati uzuri wa mwanaume ni pesaa na utafutaji pia wengi wao wana tabia za kike yani unakuta mwanaume mmbeammbea ana vimisemo vya kike na tena kitandani ni zero wenyewe ni vua nichomeke kwa mnaofahamu mtaungana nami.note;sio wote ila asilimia kubwa wapo hivo.
Aiseee ungekuwa karibu walah ningekununulia kinywaji chochote utakacho.Nyie semen muonavyo but ukweli utabaki palepale na wahusika wanajijua kabisa na hayo wanayafanya sijatendwa wala nn na kwanza siwez shobokea hao coz hawanivutii hataa me napenda chocolate color na weusi sio hao watu aisee tena mwingine unakuta weupe wenyewe mbaya kama sabuni za komoa lakini linajisikia ka limwanamke chefuuuu
Vigezo ndiyo nini???? Kila mtu anavigezo vyake Mkuu kwako havijatimia mwenzio anaona vimetimia.We mwenyw huna vigezo halafu unachagua
Isiwe tabu jamani tuacheni na weupe wetu na kuringa kwetu na urefu wetu.....wahini mapemaaaa kwa HARMORAPA maana anavyo vigezo opposite na tulivyonavyo...mfupi mweusi haringi n ontop of that he is handsome.Kuna ukweli. Wanaume weupe huwa wanajisikia sana wengi wao.....
Kuna ukweli. Wanaume weupe huwa wanajisikia sana wengi wao.....
Huu ujumbe kwa hiyo unawahusu na wazungu pia? maana nao ni weupe pia.😀





Kwani we ni mweusi au mweupeKweli kabisa mkuu
Kipenda roho hula hata nyama mbichi. Kikubwa tuheshimiane ktk chaguziKama wewe mweupe(papai) Pole sana, wapo wanaowapenda aiseee, kitu Black kirefu mwili wa kiume lazima chupi ilowe.
Na tuheshimiane kwenye uhuru wa mawazo, Mkuu kasema tusipangiane.Kipenda roho hula hata nyama mbichi. Kikubwa tuheshimiane ktk chaguzi
Kwa utafiti nilioufanya wanaume warefu weupe wanajisikia sana tena wanajiona wao ndo wazuri na si ajabu mwanaume mrefu mweupe akajisifia kuwa yeye ni mzuri wakati uzuri wa mwanaume ni pesaa na utafutaji pia wengi wao wana tabia za kike yani unakuta mwanaume mmbeammbea ana vimisemo vya kike na tena kitandani ni zero wenyewe ni vua nichomeke kwa mnaofahamu mtaungana nami.note;sio wote ila asilimia kubwa wapo hivo.
Huyo hata afungwe kwenye gift paper awekwe ndani ya gari la maana hapana.... .Isiwe tabu jamani tuacheni na weupe wetu na kuringa kwetu na urefu wetu.....wahini mapemaaaa kwa HARMORAPA maana anavyo vigezo opposite na tulivyonavyo...mfupi mweusi haringi n ontop of that he is handsome.