Mimi ni mrefu mweupe(ingawa sipendi kusikia ivo) siwezi kusema kuwa naringa ila I never settle for less than what I deserve, Afu siyo kwamba tunaringa but sometimes tunagundua kuwa demand yetu ni kubwa kuliko.....wengine tunasumbuliwa na school girls mpaka wale wenye umri wa mama zetu, what do you expect😉??
Unakutana na Manzi usafi ziro, kitandani ziro afu bado anataka pesa zangu teh teh teh.....Bora unione mwanaume suruali tu....Ngastukale na machale kundesa😀😀