Naantombe Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,254
- 15,735
We hujui unachokitaka..
Huyo kashachezea kiraba baada ya kujirahisisha wee. Af hamna alichoambulia zaidi ya kupotezewa!Wacha we, utakuta ulionesha dalili za kumtaka mkaka ambae ni mrefu na mweupe, halafu akakupotezea kimtindo au akakukataa kabisa ndo maana ukaja humu kumuanzishia thread Principle girl
Ushakopwa. Pole. Vumilia maumivu.Kwa utafiti nilioufanya wanaume warefu weupe wanajisikia sana tena wanajiona wao ndo wazuri na si ajabu mwanaume mrefu mweupe akajisifia kuwa yeye ni mzuri wakati uzuri wa mwanaume ni pesaa na utafutaji pia wengi wao wana tabia za kike yani unakuta mwanaume mmbeammbea ana vimisemo vya kike na tena kitandani ni zero wenyewe ni vua nichomeke kwa mnaofahamu mtaungana nami.note;sio wote ila asilimia kubwa wapo hivo.
Mbona hata nyie mkiwa warefu weupe na wenye chura mnatufanyia kantima nyongo.True,uko right mkuu wala hujakosea and they are also selfish.
Huyu shobo zimemponza, kaliwa af alitegemea kuwe na mahusiano ya kudumu jamaa kamkataa!.We sema unatabia ya kujitongozesha ukiona mwanaume mweupe,sasa ubaya wake ni kwamba ht km mwanaume anajua mapenzi ukijileta no romance unapigwa dudu na kumwagwa siku hiyo hiyo ...mimi mweusi tiii na mrefu asante...
Hapanaa wazungu hawana hizo mambo naongeleo watz