Wanaume wapole hawana bahati

Wanaume wapole hawana bahati

Hakuna mahali katka mada pameandikwa neno zoba. mada iko very clear.


it was "my" opinion and i wasn't trying to copy & paste....may be i should have clarified more...ni hivi, kuna wengine unaweza kuwaona ni wapole, wakimya etc kumbe ni zoba. again it's my opinion
 
Ninamaanisha wanaume au wavulana wapole, watulivu, wakimya, wasio na mbwembwe, wasio na makuu huwa hawakubaliki sana na wanawake au wasichana.

Inadhaniwa wasichana au wanawake wengi huwapenda wanaume micharuko, wenye kupenda mademu wengi, wenye kupenda kuonekana, mbwembwe na wapenda umaarufu.

Je kuna ukweli katika hili?

Aina ya wanaume uliowataja mara nyingi huwa hawajiamini. Hawako wawazi hivyo wakati mwingine ni ngumu kujua anawaza nini, anataka nini kwenye maisha. Wakati mwingine inakuwa ngumu kuamini kama anaweza kuwa kichwa cha nyumba.
 
Ninamaanisha wanaume au wavulana wapole, watulivu, wakimya, wasio na mbwembwe, wasio na makuu huwa hawakubaliki sana na wanawake au wasichana.

Inadhaniwa wasichana au wanawake wengi huwapenda wanaume micharuko, wenye kupenda mademu wengi, wenye kupenda kuonekana, mbwembwe na wapenda umaarufu.

Je kuna ukweli katika hili?
Sana tu ukweli upo,wanawake siku zote wanapenda kudanganywa sasa kama hiyo ni fani yako utakuwa unawapata kiulaini sasa watu wapole huwa hawana maneno mengi na huwa wanapenda kueleza ukweli kitu ambacho kwa wanawake hiyo hawahitaji sana.
 
Aina ya wanaume uliowataja mara nyingi huwa hawajiamini. Hawako wawazi hivyo wakati mwingine ni ngumu kujua anawaza nini, anataka nini kwenye maisha. Wakati mwingine inakuwa ngumu kuamini kama anaweza kuwa kichwa cha nyumba.
Sifa kubwa ya wanaume wapole ni ku stick kwenye mahusiano kwani upole wao huwa unawafanya hata kuwa wavivu kutafuta wanawake wa ziada.
 
Wanapenda wapole kwa kuwaoa,ata wanaweza kumwambia subiri tusibanjuke mpaka tuoane,ila wakati huo kuna jamaa chakaramu anabanjua kitu mpaka siku ya kuoa. Uwa wanashikishwa mapembe alafu wengine wanakamua maziwa
 
unyenyekevu mwisho kwe altare kwingine maigizo tu
 
Tunaojuwa ukweli huo ndio maana tunazurura kama mbwa, natuwa Bongo weekend hii usicheze mbali na dada yako nataka tukemee uzee pamoja pale Calabash napenda sana live band.

@Aspirin jumamosi kaa mkao wa kula na mpwa wangu Heaven on Earth mwandae awepo hii ni serious offer sitanii.
Matola tunaweza kwenda hata Nyama choma pia If not to Calabash

Thank you Mpwa
 
Last edited by a moderator:
Kwanza siku hizi wanaume wapole huwa "wanatokewa live" na wadada. Kwenye mawazo ya wadada wanadhani kuwa "...huyu jamaa kwa sababu ni mpole na si mwongeaji inawezekana amenipenda lakini hana ujasiri wa kuniambia, sasa kwa kuwa mimi nimempenda bora tu nimwambie kulikomkuendelea kuumia ndani kwa ndani maana kwa jinsi ninavyomwona, hana mpango wa kuniambia lolote". Kwa micharuko anajua the moment mwanaume mcharuko mawazo ya kuwa naye yakimjia hatasita kumwambia, kwa maana hiyo akiona kimya anajua huyu hajani-feel kabisa.

Kwa hiyo, hiyo claim si kweli kwa asilimia zote. Wapo wanaopenda wapole, na wapo wanaopenda gangster type. Inategemea na malengo ya kila mtu.
 
Haya chakarika sasa upole wako usiendelee kukuponza....Always remember to wrap it up.



Kumbeeeee! Leo ndio nimefahamu kwanini katika umri huu nilionao idadi ya wasichana niliowahi kuwagegeda(ukimuondoa mama kayayii) hawazidi 5! upole umeniponza hadi hapa jf!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom