Hunyu
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 4,774
- 4,339
Inategemea ntu na ntu...wengine tusikujue kuwa ni player...
Hahaaa inategemea ntu na ntu
Inategemea ntu na ntu...wengine tusikujue kuwa ni player...
Wee.hao wapole wabaya sana wanamegakimyakimya alafu wanajikausha kauuu!!
umechanganya madesa.Ninamaanisha wanaume au wavulana wapole, watulivu, wakimya ,wasio na mbwembwe, wasio na makuu huwa hawakubaliki sana na wanawake au wasichana. Inadhaniwa wasichana au wanawake wengi huwapenda wanaume micharuko,wenye kupenda madem wengi, wenyekupenda kuonekana, mbwembwe na wapenda umaarufu.Je kuna ukweli ktk hili?
Labda mtoa mada unawazungumzia mapoyoyo...
mwanaume akiwa mpole naona gragh ya mvuto nayo inashuka anakuwa kama zuzu upole mwachie kobe bana....
Why do gud gals love bad boys.?
mimi napenda mwanaume mwenye hela