Wanaume wapole hawana bahati

Wanaume wapole hawana bahati

Wapole wanakuwaga wanapenda sana vipapa...kuchepuka ndio zao...wanamambo ya chini chini sana ya UMALAYA





Ninamaanisha wanaume au wavulana wapole, watulivu, wakimya, wasio na mbwembwe, wasio na makuu huwa hawakubaliki sana na wanawake au wasichana.

Inadhaniwa wasichana au wanawake wengi huwapenda wanaume micharuko, wenye kupenda mademu wengi, wenyekupenda kuonekana, mbwembwe na wapenda umaarufu.

Je kuna ukweli katika hili?
 
Ninamaanisha wanaume au wavulana wapole, watulivu, wakimya, wasio na mbwembwe, wasio na makuu huwa hawakubaliki sana na wanawake au wasichana.

Inadhaniwa wasichana au wanawake wengi huwapenda wanaume micharuko, wenye kupenda mademu wengi, wenyekupenda kuonekana, mbwembwe na wapenda umaarufu.

Je kuna ukweli katika hili?

Utafit Wako Sio Kwel. Kuna Rafik Yangu Tulikua Tunasoma Nae. Alikua Mpoleeee Yan Mkimyaaa ila Alikua Anawatia Mimba Madem Kimya Kimya Yan Huwez Amin. Mara Jack Kajifungua Mtoto Mara Agnes Anamimba Mara Yule Anatembea Nae Yan Full Kuwachanganya Tu.
 
Mtoa mada sio kweli na upole huwezi kulenga tu hivo vitu ulivosema hapo kuna mengi zaidi ya hayo
 
kuna bahati aina nyingi ebu fafanua ni bahti zpi ambazo hawana wana ume wa pole.
 
Kila shetani na mbuyu wake.....la sivyo wapole wote wangekuwa waseja
 
Ninamaanisha wanaume au wavulana wapole, watulivu, wakimya, wasio na mbwembwe, wasio na makuu huwa hawakubaliki sana na wanawake au wasichana.

Inadhaniwa wasichana au wanawake wengi huwapenda wanaume micharuko, wenye kupenda mademu wengi, wenyekupenda kuonekana, mbwembwe na wapenda umaarufu.

Je kuna ukweli katika hili?

Kwenye nyekundu: Hizo tabia haziishii kwenye muonekano tu hadi kwa mambo ya mapenzi ndo maana wanajiiita hawana bahati lakini ni kwamba ni wapole kwenye kila kitu. Watoto wa kike wanataka ukali wa kila kitu, pesa, mavazi, mapenzi na kadharika.
 
Utafit Wako Sio Kwel. Kuna Rafik Yangu Tulikua Tunasoma Nae. Alikua Mpoleeee Yan Mkimyaaa ila Alikua Anawatia Mimba Madem Kimya Kimya Yan Huwez Amin. Mara Jack Kajifungua Mtoto Mara Agnes Anamimba Mara Yule Anatembea Nae Yan Full Kuwachanganya Tu.

Huyo hakuwa mpole, alikuwa mkali sema tu hukumelewa.
 
wadau kadhaa mmeongeza vitu ambavyo havimo kwenye hoja yangu. Hoja yangu haijataja popote mwanaume zuzu, zoba,zezeta, mzubaifu, poyoyo,tutusa ila imetaja mwanaume mpole, mtaratibu, mtulivu, asiye na mbwembwe wala mpenda makuu.Michango ya watu humu ndio inaeleza ukweli kwani wote yaani hao wapole, hao micharuko na wanawake wenyewe wameeleza kila mmoja kwa hisia zake. Wengine wanasema hawawataki wapole kwa kuwa wana mambo ya chinichini. Mimi nasema sio wapole wate wako na uchinichini.Wengine wanasema hawajui kusatisfy,hii nayo sio kweli afu utajuaje kuwa mtu hajui kusatsfy wakati hajapata anachohitaji pia sio wote micharuko wanaojua kusatisfy. Hayo ni machache wengine wasema utafiti huu sio kweli kwani yeye au jamaa yake alikua mpole lakini alikua akikubaliwa sana.Mimi nasema huu sio utafiti na hata mchango wake ametolea mfano jamaa yake mmoja tu ambae alikua akiwapata sana wasichana licha ya upole wake. Hata hivyo hii ndo MMU majbu yote yamo humu.
 
bila adventure wanahis bado hawajapendwa, acha tuendlee nao wazid kupenda
 
Back
Top Bottom