keep on dreaming..................................
Mad crazy
Asiwe zezeta
Bad boys stand up!
sio kweli bana, mm zamani nlikuwa kijana mtaratibu sana, na watu walikuwa wakiniambia ila si kweli, sema kuna ile tabia ya wasichana kupenda watu wapoleyani.iyo ipo wazi.kabisa,msimulia mvua.. siafu
Kumbeeeee! Leo ndio nimefahamu kwanini katika umri huu nilionao idadi ya wasichana niliowahi kuwagegeda(ukimuondoa mama kayayii) hawazidi 5! upole umeniponza hadi hapa jf!
Tatizo lenu mnaleta upore hata mkikabidhiwa K muikojoreshe, unapopewa K na Mwanamke acha kazi nyingine fanya kazi uliyopewa.Ni kweli kabisa SISI WAPOLE huwa hatuna bahati na kibaya zaidi mademu huwa wanatuponda eti hatun swagger!
Wasichana viumbe wa ajabu sana hawa wakiwe kwenye teens stage!Bila kumfanyia makeke hata kugeuza kapelo na kugaa raba over size atakuona kavu!
Wanapenda sana "yoo wasap" huku umepiga mlegezo wa jeans bila mkanda ehehee
Mie napenda mtu mpole tena aww mtulivu na asiyekuwa na mbwembwe kabisaaa