Wanaume wapole hawana bahati

Wanaume wapole hawana bahati

na wanauogopa but no money no love ndiyo ukweli

Tunaojuwa ukweli huo ndio maana tunazurura kama mbwa, natuwa Bongo weekend hii usicheze mbali na dada yako nataka tukemee uzee pamoja pale Calabash napenda sana live band.

@Aspirin jumamosi kaa mkao wa kula na mpwa wangu Heaven on Earth mwandae awepo hii ni serious offer sitanii.
 
Last edited by a moderator:
Tunaojuwa ukweli huo ndio maana tunazurura kama mbwa, natuwa Bongo weekend hii usicheze mbali na dada yako nataka tukemee uzee pamoja pale Calabash napenda sana live band.

@Aspirin jumamosi kaa mkao wa kula na mpwa wangu Heaven on Earth mwandae awepo hii ni serious offer sitanii.
Kwa moyo mkunjufu napenda kutangaza rasmi kuwa nimeukubali mwaliko wako......

Uzee ma upigwe vita kwa nguvu zote.

Popote ulipo Heaven on Earth, tafazali kubali mwaliko huu uongeze muda wangu wa kuishi.
 
Last edited by a moderator:
Tunaojuwa ukweli huo ndio maana tunazurura kama mbwa, natuwa Bongo weekend hii usicheze mbali na dada yako nataka tukemee uzee pamoja pale Calabash napenda sana live band.

@Aspirin jumamosi kaa mkao wa kula na mpwa wangu Heaven on Earth mwandae awepo hii ni serious offer sitanii.

Uhuuuuu wera wera funny neverend
 
Last edited by a moderator:
Wapole wanakuwaga wanapenda sana vipapa...kuchepuka ndio zao...wanamambo ya chini chini sana ya UMALAYA

Hii sio kweli mkuu, hao micharuko ndo zao mpole akiwa na mmoja tu inatosha lakini hawakubaliki.Akimfukuzia mschana yeye na mcharuko mcharuko lazima ashinde.
 
Kila ndege hutua mti aupendao... Sio porojo hizi ni misemo na ina maana kwenye maisha... Nina kuhakikishia huwezi kua wewe ni demu unae penda clubs, pool party, tungi, showoffs, yani inshort vurugu zote mujini wewe una zijua afu eti umpende mwanaume ambae ukimwambia baby twende club ana kujibu mimi sio mtu wa club bwana, baby twende kwenye birthday ya queen, mimi sina muda wa birthdys yangu mwenyewe ilisha ni shinda kufanya.. Mara bae nxt week ni instagram party it will be crazy ana kujibu uta enda wewe sasa mimi nafata nini huko? Sasa wewe demu huyu sio type yako. Type yako ni yule anae jua ni lounge gani kali mujini yenye beer cheap na cocktail party yani mwenye mavurugu yote mujini, viwanja vyote town ana jua yeye... Hivo hivo demu mtulivu ata penda kua na mwanaume mtulivu.. Hata mm sipendi demu mcharuko mwenye showoffs 800 na perepere kibao yani kelele zote mjini ana jua yeye, kujifanya ana ishi maisha ya kina jlo, mara beyonce. Na siku zote ukiona mwanaume yuko na mademu au demu wa type hio yani mwenye machepele na vurugu za mujini huwa ni kwajili ya showoffs tu hana mpango nae una kuta jamaa ana demu wake wa ukweli pembeni katulia tena demu wa kawaida tu... na hiko hivi wanaume baadhi tuna kua na mademu wa wili wa' showoffs 'na wa' future ' hawa wa future huwa tuna waheshimu sana tukifika kwao tuna kua wapole, tuna wasikiliza na tuna wafanyia wanacho taka.. ila hawa wa showoffs huwa tuna waburuza tu na huwa wana ganda sana kwako wakijua una wapigisha bata ataanzaje kususa sasa wakati ujanja wake unao wewe..
 
Kila shetani na mbuyu wake.....la sivyo wapole wote wangekuwa waseja

Yup uko sahihi ktk hili mwanaume mpole huwa anakuwa last selected yani baada ya ma sharp shooter woote kupata. Rafiki yangu mmoja alikua mpole sana alitokea kumpenda mrembo mmoja fulani hivi, akanisimulia ishu, nikamtia moyo amtokee. He alipewa jibu moja tu na dem akampotezea. Alijibiwa hivi " yaani we kaka kumbe uko hivyo, mimi jilikua nakuona mpole,mtulivu,unaejiheshimu. kumbe uko hivyo!"
 
kuna upole na ujinga, tofautisha hapo.

Ufafanuzi mzuri huo tunahitaji kujua ni upole au ujinga, maana kuna upole au sijui niuiite ukimya ambapo unakuta mtu anaongea pale panapohitajika na kwa wakati lakini akiwa na mpenzi wake ametulia yupo safi kutwa ni kucheka ila akitoka nje tu anakuwa kawaida
 
Mie napenda mtu mpole tena aww mtulivu na asiyekuwa na mbwembwe kabisaaa
Fine! kuna jamaa yangu mmoja mpole sana alimzimikia sana mdada fulani. nilimpa ujasiri amwambie ni kijana mtaratibu kwa kweli.alipomweleza, yule dada alimjibu hivi " wee kaka nilikua nakuona mpole na heshima zako kumbe uko hivo! nakuomba tuheshimiane". yule mdada wala hakua na mda wa kumdadisi dogo ingawa walikua wakiishi mitaa jirani. Unaweza kuona kama nafurahisha baraza tu lakini amini usiamini hali hii nimeishuhudia.
 
Umeona wapi biashara isiyotangazwa ikapendwa na kununuliwa na wateja kwa wingi. Tumaini siku zote ni kwa wateja wakubahatisha au wale wa kuelekezana mitaani tu.

Hata mimi toka nikiwa mvulana mdogo mpaka sasa nakimbilia uzeeni napenda Wadada wajuzi wa mmbo mengi kama Madame B, maana gari zote hata ikiwa mpya leo iko siku zitaharibika na ikiharibika wakuivuta ni gari nzima na wala si kimeo....
 
Last edited by a moderator:
Fine! kuna jamaa yangu mmoja mpole sana alimzimikia sana mdada fulani. nilimpa ujasiri amwambie ni kijana mtaratibu kwa kweli.alipomweleza, yule dada alimjibu hivi " wee kaka nilikua nakuona mpole na heshima zako kumbe uko hivo! nakuomba tuheshimiane". yule mdada wala hakua na mda wa kumdadisi dogo ingawa walikua wakiishi mitaa jirani. Unaweza kuona kama nafurahisha baraza tu lakini amini usiamini hali hii nimeishuhudia.
Wadada wengi wa enzi hizo hiyo ndiyo ilikua kinga yao, siku hizi ni wallet inaongea tu kutongoza hivyo imepitwa....
 
Mie ni mpole lakini kule chini napiga si mchezo, hapa ndio tunapopendewa.
 
Tatizo lenu mnaleta upore hata mkikabidhiwa K muikojoreshe, unapopewa K na Mwanamke acha kazi nyingine fanya kazi uliyopewa.

Hata kama una mapesa kama mwanamke anakukabidhi K mahaba yaishie kwenye romance tu mbunye haitaki upole unaipa kibano cha uhakika. Ndani ya sita kwa sita hakuna adabu wala ustaarabu mtie madole piga wowowo lake vibao na huo umegaji wetu masela hakuna cha yoo hapo.

hahahaaaaa matola bila shaka wewe ni mtoto wa kitaa sana?!!!
 
Kwa moyo mkunjufu napenda kutangaza rasmi kuwa nimeukubali mwaliko wako......

Uzee ma upigwe vita kwa nguvu zote.

Popote ulipo Heaven on Earth, tafazali kubali mwaliko huu uongeze muda wangu wa kuishi.

I mean it, never mis kama Live band hakuna unijurishe mapema tuchange venue nitakuwa na special guest wa kubadilishana naye ideas. Heaven on Earth comfirn please inbox au kwa Asprin
 
Last edited by a moderator:
Tofautisha kati ya wapole na wakimya
 
Back
Top Bottom