Wanaume wapole hawana bahati

Wanaume wapole hawana bahati

Mie napenda mtu mpole tena aww mtulivu na asiyekuwa na mbwembwe kabisaaa

nimekua muahanga wa maumivu siku zote ktk uhusiano kwakua na tabia izoapo juu... nikaja badirika saizi wanalia wao.
 
Ninamaanisha wanaume au wavulana wapole, watulivu, wakimya, wasio na mbwembwe, wasio na makuu huwa hawakubaliki sana na wanawake au wasichana.

Inadhaniwa wasichana au wanawake wengi huwapenda wanaume micharuko, wenye kupenda mademu wengi, wenyekupenda kuonekana, mbwembwe na wapenda umaarufu.

Je kuna ukweli katika hili?

Sio kweli,hao wanawake wanaopenda wanaume micharuko hata wao huwa michaluko pia,wanaume wenye hekima na busara na kujitambua huchukua pia wanawake wa namna hiyo hiyo kwa sababu wanawake wa namna hiyo ni watulivu na hawataki strees
 
HEHEHEHHEHEHE.......Inawezekana wasichana wanapenda bad boys
 
Na wanatupenda wapole ili watuonee wapige kelele ndani wanavyotaka, akitoka akae huko mpaka achoke bila maswali hicho ndio wanapenda. Hivi wakuu unaweza kujifunza kuwa mkali, natamani sana nijifunze kama inawezekana.
 
Mwanaume aliye mtulivu ndiye mkomavu na anayeweza kuhimili ndoa..wasichana wadogo wasio na mwelekeo maishani ndiyo huwapenda wavulana micharuko.
 
Binafsi mimi mwanamke anaeongea sana sitaki ata ukaribu nae. Pamoja na ucheshi wangu,sijui kwa nini.
 
Too good to be noticed....EVERYONE LOVE ATTENTION IN THIS WORLD NO MATTER WHO YOUR ARE OR WHICH POSITION ARE YOU..... I LOVE THE GIRLS WHO BROUGHT ATTENTION KWA WATU... ILA INATEGEMEA UNAZUNGUMZIA UPOLE WA NAMNA GANI KUNA WENGINE WAKO SMART NA WAKIMYA ILA WAKIONGEA KILA MTU ANAPAY ATTENTION KUSIKILIZA... AS A MAN UYO NDO MSICHANA NAYEMUITAJI.. SIO MWANAMKE ANAYEKUWA MPOLE KILA AKIONGEA PUMBA TUUU MBELE ZA WATU.....
 
mahaba niue, mi mpoleee mpaka demu wangu huwa anawaita na wenzake kunisuta, lakn napenda2 coz hata nikiachana naye mwingne nampata wap na upolee, huyu mwenyew nilmpata kwa kukosea namba!
 
Back
Top Bottom