Wanaume wanawaonea wivu wanawake

Wanaume wanawaonea wivu wanawake

hata machangudoa wapo wazuri kuliko wewe usifikirie kuna mtu ataumia sana kukukosa wewe ulichonacho kila anaevaa sketi anacho pale katikati ya mapaja pale ladha ile ile
 
Sawa tumekusikia haya kakojoe uoge ule ulale uwahi tuition kesho jumatatu.
 
Mdogo wangu mapenzi umeyajua lini?
Tulia ufikishe hata miaka 20, usijione una IQ kubwa kupost ujinga tu humu.
 
Km una wivu kupita kiac kw mke au mchumba au dem ni ulimbuken.weka iman kwmba akifanyw matus ni kitu yake ametoa sio yako kama ww mwanaume ukifanyw nanii yako ndo roho iume sio ya mpenz wako au mke wako.
 
Moja ya mambo yanayomuuma sana na kumfedhehesha mwanamke ni kukosa kuolewa na kukosa mtoto, yaani hili tatizo ni boonge moja la bakora kwa mwanamke. Ngoja umri ukifika utajua dhana ya unachojaribu kusema hapa
 
Desperateness inakutesa mama,pole sana,huwezi kushindana na mwanaume,wanaume tuna mbinu nyingi sana siku hizi,mimi ukiingia anga zangu wewe,nikitumia zaidi ya elfu saba unabahati saaaana,tena huwa napenda nyie mnaofake kila kitu(nywele fake,kope fake,uso umejikoboa,lipsi umepaka ma rangi yako,maziwa fake,puani kipini fake,makalio fake,rafudhi fake,mikucha bandia)kila kitu fake,hamko real hata kidogo,hata li muandiko lako kwenye thread limekaa ki fake fake tu,mimi mademu kama nyie lazima nile na 0714,m?ana hamna namna!
 
kwann wanamme wa tanzania wanawaona wiv wanawake? wakiona mwanamke mzur na anampenda hy mwanamke but anajua awez kumpata anaishia kumchukia bla sabab na kumzulia maneno ya uongo anatngaza kwa watu mwanamke malaya changudoa hku anaumia moyon amemkosa. haish kuangalia last seen ya whatsapp au profil ya facebook kla cku. kwny sim yke amedownload pcha za mwanamke anaemwta malaya kwa wiv wke. aibu mwaname kumuonea wiv mwanamke asiekuusu. hta km amekupta vp. wanaume wa tanznia mjpang fanyen kaz achen kushndana na wanawake na kuwaonea wvu mtakufa mackin. mwanmke n mwanamke ucshndane nae utalala porin uliwe na smba ndgu zko wakazka mifupa
point, wako wengi hawa viumbe.
mwingine anatukana na kumsema mtu hovyo halafu ndio wa kwanza kumuandikia huyo mwanamke meseji.
 
Desperateness inakutesa mama,pole sana,huwezi kushindana na mwanaume,wanaume tuna mbinu nyingi sana siku hizi,mimi ukiingia anga zangu wewe,nikitumia zaidi ya elfu saba unabahati saaaana,tena huwa napenda nyie mnaofake kila kitu(nywele fake,kope fake,uso umejikoboa,lipsi umepaka ma rangi yako,maziwa fake,puani kipini fake,makalio fake,rafudhi fake,mikucha bandia)kila kitu fake,hamko real hata kidogo,hata li muandiko lako kwenye thread limekaa ki fake fake tu,mimi mademu kama nyie lazima nile na 0714,m?ana hamna namna!
tatizo inawezekana wewe ni mmoja wa wanao ongelewa hapa... kuna uwezekano mkubwa huna uwezo wa kuwapata hao unaowataja ndo maana unasema "nikipata"
 
Usishindane na mwanaume utaumia bure
ni wadahaifu mno, watu wadhaifu wakigundua wameshindwa ndio hujipa matumaini ya kwamba wanaowataka ni wabaya n.k ili mwingine asiwatake na wao wajisikie nafuu... kumbe kumshusha mwingine hakumpandishi juu yeye.
Bahati nzuri/mbaya mbinu hiyo inafanya kazi kwa teenagers tu, watu waliojitambua ni ngumu kumu umiza kwa maneno ya mkosaji.

ni wakati wanawake wanaotukanwa wajue kwamba yule anayetukana ana madhaifu yanayomsumbua ( anajihisi kudhalilika kwa kukataliwa n.k) hivyo anajaribu kujisikia nafuu kwa kuwashusha wengine. Kama mbaya/malaya alikuwa anakutafuta wa nini alitumwa au kushikiwa bunduki.
 
Una tatizo kuubwa la kisaikolojia. Nenda kwa Gwajima akutoe hilo sukule. Mwanaume mmoja tu amekuacha unajumuisha wanaume wooote tena Tz?? Ama kweli, la kuvunda halina ubani.
Sikujui lakini hata ka ninaukiwa wa jela, hunifai
kwani mwandishi anakutaka?
 
Back
Top Bottom