Natumai hamjambo wakuu.
Wanaume tuna wivu sana bt wanawake mnazidi, aise wakuu usiombe ukafanyiwa wivu na mwanamke yaani hawa viumbe wana wivu wa kijinga kweli, unakuta hata ukiongea na sim akasikia sauti ya kike anasogea karibu kujua nini mnaongea then after mazungumzo yale atataka maelezo ya unaezungtmza naye
Wife mara nyingi tumekua tukikwazana ajili ya huu wivu wa kijinga, imefikia hadi anategeshea usiku umelala anachukua sim anapekua majina yote ya kike anachukua namba then kukicha anaanza wapeleleza
Anawapeleleza kwa kujifanya dada angu kua mi nimempa namba zao na kumwambia ni mawifi zake tarajiwa, ukweli kashanigombanisha na baadhi yao na hii tabia hataki kuacha.
Sasa jana nikiwa katika story na jamaa yangu kuhusu wivu wa wanawake ndipo akanambia mwanamke kama anakupenda na ukawa unamchapa mkia vizuri wanakuaga na wivu wa kijinga sana.
Je, wakuu nyie mnatumia mbinu gani kuukabili huu wivu wa kijinga wa wanawake?
Wanaume tuna wivu sana bt wanawake mnazidi, aise wakuu usiombe ukafanyiwa wivu na mwanamke yaani hawa viumbe wana wivu wa kijinga kweli, unakuta hata ukiongea na sim akasikia sauti ya kike anasogea karibu kujua nini mnaongea then after mazungumzo yale atataka maelezo ya unaezungtmza naye
Wife mara nyingi tumekua tukikwazana ajili ya huu wivu wa kijinga, imefikia hadi anategeshea usiku umelala anachukua sim anapekua majina yote ya kike anachukua namba then kukicha anaanza wapeleleza
Anawapeleleza kwa kujifanya dada angu kua mi nimempa namba zao na kumwambia ni mawifi zake tarajiwa, ukweli kashanigombanisha na baadhi yao na hii tabia hataki kuacha.
Sasa jana nikiwa katika story na jamaa yangu kuhusu wivu wa wanawake ndipo akanambia mwanamke kama anakupenda na ukawa unamchapa mkia vizuri wanakuaga na wivu wa kijinga sana.
Je, wakuu nyie mnatumia mbinu gani kuukabili huu wivu wa kijinga wa wanawake?