Rogie
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 7,600
- 6,721
hiyo hapana imezidi na kupigiana simu mida ya kutoka job, jamani watu wananid privacy lol, asubuhi ikitokea hata akikukuta kituoni atakupik c lazima umpigie mkono ka trafik bana,
MUMUWACHE AENJOI NA GARI YAKE, GARI YENYEWE YA MKOPO BADO UCHUNGU WA KUKATWA HAUJAISHA
WANAUME BANA, Mna yenu nyie c bure angekua muomba lift mdada hata mwaka mzima ukimpa na tena ukimfata hadi mlangoni na kumrudisha , kwa kua vidume wenzio umeona haina maslah, ila we mmmbbbbaaaaayyyyyaaaaaaaaaa
Maisha ni safari.