Wanaume wanaopenda lift....

Wanaume wanaopenda lift....

hiyo hapana imezidi na kupigiana simu mida ya kutoka job, jamani watu wananid privacy lol, asubuhi ikitokea hata akikukuta kituoni atakupik c lazima umpigie mkono ka trafik bana,
MUMUWACHE AENJOI NA GARI YAKE, GARI YENYEWE YA MKOPO BADO UCHUNGU WA KUKATWA HAUJAISHA

WANAUME BANA, Mna yenu nyie c bure angekua muomba lift mdada hata mwaka mzima ukimpa na tena ukimfata hadi mlangoni na kumrudisha , kwa kua vidume wenzio umeona haina maslah, ila we mmmbbbbaaaaayyyyyaaaaaaaaaa

Maisha ni safari.
 

uko na my waifu wako mnashindwa hata kuja**a..inahuuu.....
Asprin uko wapi? nimekumiss
Niko hapa mpenzi na mke wa ujana wangu. Eti kuna mtu anataka lifti ya Tukutuku yetu?

Afu eti my love, hiyo kuja**a ulikuwa unamaanisha kuachia naniliyu sio..... Hahahahah wenzangu wameoa wake mi nimeoa mke wa ujana. LOL

Me luvs you saaana N'ke ya ujana wangu BADILI TABIA..... soooo very much....:A S 100:
 
Last edited by a moderator:
Napata shida sana na hili. Wote tunafahamu kwamba jiji la Salidalama lina tatizo la usafiri na pengine kumsaidia mtu ni kitu cha kawaida kama anakwenda kazini. Lakini cha ajabu, kuna baadhi ya wanaume ambao wanafanya kazi. Kila siku unamkuta mtu amesimama mbali na kituo cha daladala utafikiri anasubiri gari la ofsini kwao kumbe sio. Kila akipita mtu unakuta kazi ni kuchungulia kwenye vioo vya gari na kupiga mkono kama trafik. Ukiwa job anapiga unatoka saa ngapi ili apande tena wakati wa kurudi home.

Jamani kwa nini wanaume tunajifedhehesha hivi? Mtu anakupa lift maramoja na pale ambapo kweli kuna shida ya usafiri na wewe, jaribu kukaa hapo kwenye kituo cha mabasi na wenzako. Wanaume tusipende sana kudandia lift maana ni fedheha. Mambo haya yalikuwa kwa wanawake zamani lakini siku hizi yamehamia kwa wanaume!

Najua wengi wataponda lakini ukweli ndo huo! Mi na mke wangu hatukuwahi kudandia lift ya mtu, tulikwa sisi na daladala kila siku! Hata kama gari imeleta tatizo tulikuwa tunawahi kupanda daladala. Iweje wasio na magari wapende sana lift utafikiri shida hawana?

Hii kitu inasumbua sana aisee...unakutaunapanga mipango na wife mara unaona jamaa kasimama katikati ya barabara...... ilinifanya ninunue pick-up.....na huku kwetu kulivyo na vumbi walikomaje...sasa ivi mimi ndo nawaomba wapakie...wakiniona nakuja wanajificha ili nisiwabebe ..teheteheh. na wengine wanajifanya wanaongea na simu..
 
Hii kitu inasumbua sana aisee...unakutaunapanga mipango na wife mara unaona jamaa kasimama katikati ya barabara...... ilinifanya ninunue pick-up.....na huku kwetu kulivyo na vumbi walikomaje...sasa ivi mimi ndo nawaomba wapakie...wakiniona nakuja wanajificha ili nisiwabebe ..teheteheh. na wengine wanajifanya wanaongea na simu..

Kaka, mbona umenizidi ujanja kwa mbali hivyo? Umenifurahisha sana!
 
Hii kitu inasumbua sana aisee...unakutaunapanga mipango na wife mara unaona jamaa kasimama katikati ya barabara...... ilinifanya ninunue pick-up.....na huku kwetu kulivyo na vumbi walikomaje...sasa ivi mimi ndo nawaomba wapakie...wakiniona nakuja wanajificha ili nisiwabebe ..teheteheh. na wengine wanajifanya wanaongea na simu..

Ambao hatuna magari tutakoma,ila mkumbuke hivi ni vitu vya kupita tu,hao unaowadharau ndiyo watakao toa msaada pindi ukipata matatizo.Haya mkuu maisha mema na gari zenu!
 
Napata shida sana na hili. Wote tunafahamu kwamba jiji la Salidalama lina tatizo la usafiri na pengine kumsaidia mtu ni kitu cha kawaida kama anakwenda kazini. Lakini cha ajabu, kuna baadhi ya wanaume ambao wanafanya kazi. Kila siku unamkuta mtu amesimama mbali na kituo cha daladala utafikiri anasubiri gari la ofsini kwao kumbe sio. Kila akipita mtu unakuta kazi ni kuchungulia kwenye vioo vya gari na kupiga mkono kama trafik. Ukiwa job anapiga unatoka saa ngapi ili apande tena wakati wa kurudi home.

Jamani kwa nini wanaume tunajifedhehesha hivi? Mtu anakupa lift maramoja na pale ambapo kweli kuna shida ya usafiri na wewe, jaribu kukaa hapo kwenye kituo cha mabasi na wenzako. Wanaume tusipende sana kudandia lift maana ni fedheha. Mambo haya yalikuwa kwa wanawake zamani lakini siku hizi yamehamia kwa wanaume!

Najua wengi wataponda lakini ukweli ndo huo! Mi na mke wangu hatukuwahi kudandia lift ya mtu, tulikwa sisi na daladala kila siku! Hata kama gari imeleta tatizo tulikuwa tunawahi kupanda daladala. Iweje wasio na magari wapende sana lift utafikiri shida hawana?

Hongera kwa kununua gari
 
nimeupenda uzi huu kwa sababu ya kushangaza kidogo ,actually kwangu ni kubwa mno!
NIMEPENDA VILE UNAMZUNGUMZIA MKEO HUMU!
love it brother keep it UP!yatakaa sawa tu!hayo ya lifti mi wala hayajanishughulisha!
hebu pitia tena post zako kweny thread hii!
thank yu very much!
 
Hahahahahahahaha
hapa ngoja nijifiche


neno hilo......

leo acha nikuunge mkono...

uko na my waifu wako mnashindwa hata kuja**a..inahuuu.....

inaeleweka kumpa lifti myu asubuhi lakini huyo hadi jioni anakupigia kukuuliza lifti amepitiliza, hajui mjini kila mtu ana mipango yake? huo ndo muda wa kwenda kwenye mishe mishe binafsi...aache...

anyway mkiwa mnatumia tz 11 kama sie hutosumbuka na lifti, maana lifti ni miguu yake tu...

Asprin uko wapi? nimekumiss
 
Last edited by a moderator:
Napata shida sana na hili. Wote tunafahamu kwamba jiji la Salidalama lina tatizo la usafiri na pengine kumsaidia mtu ni kitu cha kawaida kama anakwenda kazini. Lakini cha ajabu, kuna baadhi ya wanaume ambao wanafanya kazi. Kila siku unamkuta mtu amesimama mbali na kituo cha daladala utafikiri anasubiri gari la ofsini kwao kumbe sio. Kila akipita mtu unakuta kazi ni kuchungulia kwenye vioo vya gari na kupiga mkono kama trafik. Ukiwa job anapiga unatoka saa ngapi ili apande tena wakati wa kurudi home.

Jamani kwa nini wanaume tunajifedhehesha hivi? Mtu anakupa lift maramoja na pale ambapo kweli kuna shida ya usafiri na wewe, jaribu kukaa hapo kwenye kituo cha mabasi na wenzako. Wanaume tusipende sana kudandia lift maana ni fedheha. Mambo haya yalikuwa kwa wanawake zamani lakini siku hizi yamehamia kwa wanaume!

Najua wengi wataponda lakini ukweli ndo huo! Mi na mke wangu hatukuwahi kudandia lift ya mtu, tulikwa sisi na daladala kila siku! Hata kama gari imeleta tatizo tulikuwa tunawahi kupanda daladala. Iweje wasio na magari wapende sana lift utafikiri shida hawana?

kama hupendi c unamwambia tu kulalamika kwenye mitandao haiondoi tatizo linalokukera watu wote wangedrive c ingekuwa hapatoshi ndugu magari ni vitu vya kupita visikutese namna hiyo kwani ukibeba mtu unapoteza nini?hupendi wambie sipakii
 
Ambao hatuna magari tutakoma,ila mkumbuke hivi ni vitu vya kupita tu,hao unaowadharau ndiyo watakao toa msaada pindi ukipata matatizo.Haya mkuu maisha mema na gari zenu!

pole sana mkuu...usijali ni kupanga tu
 
ahahahaaaaas...una akili sana mkuu..unajua tunaovikuta ukubwani ni lazima uonyeshe kidogo

Kweli mkuu IGWE hii ni athari ya kuyajulia magari ukubwani mpaka inafika hatua mtu anakuwa hata utu, utu kwanza gari baadae
 
Last edited by a moderator:
Niko hapa mpenzi na mke wa ujana wangu. Eti kuna mtu anataka lifti ya Tukutuku yetu?

Afu eti my love, hiyo kuja**a ulikuwa unamaanisha kuachia naniliyu sio..... Hahahahah wenzangu wameoa wake mi nimeoa mke wa ujana. LOL

hubby pale penye nyota ni kupumua kinyume nyume.......

Halafu jioni tusimpe lifti jirani, tutashindwa hata kukumbatiana kwenye tukutuku yetu.........

Halafu hubby si unaona faida ya kuoa mke wa ujana wako? Tupo strong..........lifti za majirani hazitusumbui
 
nimeupenda uzi huu kwa sababu ya kushangaza kidogo ,actually kwangu ni kubwa mno!
NIMEPENDA VILE UNAMZUNGUMZIA MKEO HUMU!
love it brother keep it UP!yatakaa sawa tu!hayo ya lifti mi wala hayajanishughulisha!
hebu pitia tena post zako kweny thread hii!
thank yu very much!

kumbe na wewe umegundua eeeh? Ndo maana nimemuunga mkono kwa nguvu zote loh
 
hubby pale penye nyota ni kupumua kinyume nyume.......

Halafu jioni tusimpe lifti jirani, tutashindwa hata kukumbatiana kwenye tukutuku yetu.........

Halafu hubby si unaona faida ya kuoa mke wa ujana wako? Tupo strong..........lifti za majirani hazitusumbui
Umeona eh? Ndo maana sitaacha kukuoa kila siku.

Yaani sie tukope vijisenti kwa wakoloni zetu, hata madeni hatujafikisha nusu kulipa afu majirani waje wadandie tuuu?

Watajijeijei....!!
 
Back
Top Bottom