Tized
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 4,025
- 5,973
Hahaaaa, ni sawa na kumpa mtu zawadi ya fedha, then anaanza kuhesabu mbele yako ili ahakikishe mahesabu. Hii ishu ni subjective kuna wengine mishipa ya aibu imezingirwa sana na body fats kwa hio aibu inapita kwa kiasi kidogo sana.
Mwingine unapewa lift kila siku jamaa akiingia sheli unajidai kuchezea/kupiga simu, shame on you! kwa nini hata siku moja usilipie mafuta hata ya buku ten ya kuzugia???
ila tukiacha utani, lift ni tamu jamani! ukinikuta njian usiniache wajameni.
Mwingine unapewa lift kila siku jamaa akiingia sheli unajidai kuchezea/kupiga simu, shame on you! kwa nini hata siku moja usilipie mafuta hata ya buku ten ya kuzugia???
ila tukiacha utani, lift ni tamu jamani! ukinikuta njian usiniache wajameni.