Mfamaji
JF-Expert Member
- Nov 6, 2007
- 6,629
- 1,951
Nilisikia kwenye vyombo vya habari hivi majuzi kuwa kuna mwanaume huko Kenya aliamua kuvunja ukimya kwa kumshtaki mkewe baada ya mkewe huyo kumpiga mzee na kumpa majeraha.
Wanaume wengi wamekuwa wakivumilia manayanyaso ya aina mbalimbali toka kwa wake zao. Wako wanawake wanaoanzisha matatizo kwa waume zao wakiwa na malengo ya kuachana halafu baadae adai mali kama sheria ya ndoa invyodai, na kwa haraka haraka naona kama hili linachukua sura ya kisasa zaidi likiambatana na idiology ya usawa pamoja na kuigana . Utakuta baaadhi ya waliokwishaachika wana maisha fulani ya kirahisi , kama wanavyodhani wengine- kwamba fulani angalia baada ya kuachika maisha yake fresh,ana gari,biashara etc.
Wako wazee wanaopigwa , wanaonyimwa chakula , ndoa , kufungiwa nje n.k
Hakuna mahali pa kuongelea haya maana wanaume aibu kuzungumza hivi. Mimi naona JF itumike pia kuwakomboa wenzetu wanaonyanyasika kindani ndani bila mahali pa kupata msaada. Wenye shida zao waweke hapa tuwachangie mawazo. Au mnasemaje wakuu? We dare talk openly.
Wanaume wengi wamekuwa wakivumilia manayanyaso ya aina mbalimbali toka kwa wake zao. Wako wanawake wanaoanzisha matatizo kwa waume zao wakiwa na malengo ya kuachana halafu baadae adai mali kama sheria ya ndoa invyodai, na kwa haraka haraka naona kama hili linachukua sura ya kisasa zaidi likiambatana na idiology ya usawa pamoja na kuigana . Utakuta baaadhi ya waliokwishaachika wana maisha fulani ya kirahisi , kama wanavyodhani wengine- kwamba fulani angalia baada ya kuachika maisha yake fresh,ana gari,biashara etc.
Wako wazee wanaopigwa , wanaonyimwa chakula , ndoa , kufungiwa nje n.k
Hakuna mahali pa kuongelea haya maana wanaume aibu kuzungumza hivi. Mimi naona JF itumike pia kuwakomboa wenzetu wanaonyanyasika kindani ndani bila mahali pa kupata msaada. Wenye shida zao waweke hapa tuwachangie mawazo. Au mnasemaje wakuu? We dare talk openly.