Wanaume wanaonyaswa na wake zao.

Mfamaji

JF-Expert Member
Nov 6, 2007
6,631
1,926
Nilisikia kwenye vyombo vya habari hivi majuzi kuwa kuna mwanaume huko Kenya aliamua kuvunja ukimya kwa kumshtaki mkewe baada ya mkewe huyo kumpiga mzee na kumpa majeraha.

Wanaume wengi wamekuwa wakivumilia manayanyaso ya aina mbalimbali toka kwa wake zao. Wako wanawake wanaoanzisha matatizo kwa waume zao wakiwa na malengo ya kuachana halafu baadae adai mali kama sheria ya ndoa invyodai, na kwa haraka haraka naona kama hili linachukua sura ya kisasa zaidi likiambatana na idiology ya usawa pamoja na kuigana . Utakuta baaadhi ya waliokwishaachika wana maisha fulani ya kirahisi , kama wanavyodhani wengine- kwamba fulani angalia baada ya kuachika maisha yake fresh,ana gari,biashara etc.

Wako wazee wanaopigwa , wanaonyimwa chakula , ndoa , kufungiwa nje n.k
Hakuna mahali pa kuongelea haya maana wanaume aibu kuzungumza hivi. Mimi naona JF itumike pia kuwakomboa wenzetu wanaonyanyasika kindani ndani bila mahali pa kupata msaada. Wenye shida zao waweke hapa tuwachangie mawazo. Au mnasemaje wakuu? We dare talk openly.
 
Nilisikia kwenye vyombo vya habari hivi majuzi kuwa kuna mwanaume huko Kenya aliamua kuvunja ukimya kwa kumshtaki mkewe baada ya mkewe huyo kumpiga mzee na kumpa majeraha.

Wanaume wengi wamekuwa wakivumilia manayanyaso ya aina mbalimbali toka kwa wake zao. Wako wanawake wanaoanzisha matatizo kwa waume zao wakiwa na malengo ya kuachana halafu baadae adai mali kama sheria ya ndoa invyodai, na kwa haraka haraka naona kama hili linachukua sura ya kisasa zaidi likiambatana na idiology ya usawa pamoja na kuigana . Utakuta baaadhi ya waliokwishaachika wana maisha fulani ya kirahisi , kama wanavyodhani wengine- kwamba fulani angalia baada ya kuachika maisha yake fresh,ana gari,biashara etc.

Wako wazee wanaopigwa , wanaonyimwa chakula , ndoa , kufungiwa nje n.k
Hakuna mahali pa kuongelea haya maana wanaume aibu kuzungumza hivi. Mimi naona JF itumike pia kuwakomboa wenzetu wanaonyanyasika kindani ndani bila mahali pa kupata msaada. Wenye shida zao waweke hapa tuwachangie mawazo. Au mnasemaje wakuu? We dare talk openly.

Hata hapa jf hawatajitokeza,angalia hiyo highlit point ktk maelezo yako. Cha kufanya toa majibu/suluhisho la tatizo hilo moja kwa moja ili mwenye kuguswa nalo aweze kupata majibu moja kwa moja.
 
Nafahamu kuwa hili ndilo tatizo. Kuzungumzia tatizo ni njia ya kulitatua. Kuna njia nyingi tu za kujitokeza .After all hatujuaini mkuu.
 
Last edited:
makubwa haya. Eti niseme hadharani mke wangu jana kanipiga sana. Aibu aibu aibu.

Lakini kuna umuhimu wa watu kuwa wawazi sana.
 
makubwa haya. Eti niseme hadharani mke wangu jana kanipiga sana. Aibu aibu aibu.

Lakini kuna umuhimu wa watu kuwa wawazi sana.
Ndio maana utapigwa kila siku mpaka mwisho dunia afadhali useme JF ikusaidie mbinu?
 
kweli mmenichekesha, its good one step forward mkianzia hapa JF - NGO-etc;

inabidi mfikirie pakwenda kudai haki zenu wenzenu tulianzia Beijing, ila watani kenya nadhani wanayo NGO ya kutetea wanaume wanaonyanyaswa 'MAENDELEO YA WANAUME' ,
 
Ni afadhali upigwe utaumia then kwisha. Wanawake psychology yao ya utendaji mambo katika relationship hususan ndoa inaumiza sana na majeraha yasopona ukichunguza kwa makini. Hapa inasaidia akili. Pale mwanaume unapogundua kuwa mke wako anataka tu kukufanyia kitu mbaya itakayokufadhaisha, akili unageuza mashambulizi, yaani vita ya akili na ya kimya kimya. Ukizubaa utapiga hadi utakuja ua. Ishi kwa akili. Mfano: Mme atanunua say mosquito net kwa ajili ya mtoto. Na ni baada ya request kutoka kwa mkewe. Then mke hataitumia kisa alitaka ushindwe kuinunua ili akulaumu. Mtoto atapata malaria then mme atakataa kutoa tena pesa ya kutibu kabla ya kuhoji why net haitumiki. See it may end up somewhere very unattractive in a relationship. Hii ndio utendaji kazi wa kikeni na jinsi wanaume wanavyonyanyaswa kimya kimya. Afadhali akupige kiishe kuliko jeraha la akili na moyo. Halifutiki na hufadhaisha.
 
Mimi nafikiri hii mada ni ya msingi kuijadili kwa kina.
Unyanyaswaji upo sana na hasa pale inapotokea kuwa Mume ameyumba au kipato chake ni kidogo kuweza kukidhi mahitaji ya familia.

Kuna swali najiuliza kwa nini WAJANE NI WENGI KULIKO WAGANE?
 
Mimi nafikiri hii mada ni ya msingi kuijadili kwa kina.
Unyanyaswaji upo sana na hasa pale inapotokea kuwa Mume ameyumba au kipato chake ni kidogo kuweza kukidhi mahitaji ya familia.

Kuna swali najiuliza kwa nini WAJANE NI WENGI KULIKO WAGANE?

Wayne nakushukuru maana unaanza kuona maana halisi ya hii thread. Kama alivyoeleza Mshiiri hapo juu kuna mambo ambayo yanasumbua wanaume psychologically na kukosa raha. Yawezekana high blood pressure, heart attacks na immotional suffererings vinachangia asilimia kubwa kwa vifo vya wanaume kutokana na manyanyaso ya akina waife wao. Na tufanye utafiti tuone nani anaishi zaidi kati ya wanume wasiooa na wale waliooa. assuming everthing is equal .

Movement against mfume dume unaendelea kuwasupress wanaume kama vile wao ndio waliopanga iwe hivyo. Mwanadamu wa kwanza alikuwa dume , na ndiye alipewa mamlaka ya kuongoza dunia akiwemo jike . Sasa wanaume tufanyeje? Tubadilishe mfumo huu halafu ubaki upi ? What is the alternative ya mfumo dume ambao ndio theme ya sasa duniani kote kutaka kuuondoa? In the process wanume wanaisha ?.

Enyi wanawake , eleweni vita haichi kuwa na madhara, na madhara ndio sisi madume wenu .Halafu tukiisha mtabaki wenyewe?

Ni muhimu wanaume tuanze harakati za kujitetea haraka iwezekanavyo la ivyo mambo yetu ni mbaya kabisa.
 
Last edited:
Back
Top Bottom