Wanaume wanakuwaga mzunguko na hot days?

Wanaume wanakuwaga mzunguko na hot days?

Nauliza tu kujifunza.huwezi jua kesho naweza kuwa na familia mume anaehangaika mi sielewi kitu
Je wanaume nao wanakuwaga na siku zao za joto kupanda ama hot days ambapo hormone zao zinakuwa juu na hamu pia?

Ama wao ni regular tu?

Nimezoea Kwa wanawake katika ule mzunguko wao Kuna siku zinaitwa za hatari ndio naita hot days,hizi siku ni balaa na nusu yake🙆

Katika hizi siku ndio mwanamke anakuwa kwenye uwezekano wa kubeba mimba Kwa 100%
Joto la mwili hupanda

Hormone zinaachiliwa kama zote,mayai ndani yanakuwa ready kutungisha mimba na ukeni kunakuwa wet na utelezi mda mwingi.yai lile likikosa kirutubisho toka Kwa mwanaume ndo linatokea na kushuka nje ya uke kama waste.

Hata Kwa mnyama mbwa pia,ana siku zake hatari,na wanatoka harufu Fulani inayomvuta dume hata kama Yuko mtaa wa saba ataruka ukuta amfate jike alipo.jike huwa anahangaika anatoa milio fulani mda wote na huwa anatoka utelezi.

Nadhani hii ni mahsusi kwajili ya kurahisha uumbaji na kujaza Dunia.
But my question...wanaume binadamu na nyie mna siku zenu au mnavutwa tu na majike?
Hatuna siku zetu, ilimradi tuña afya njema. kila muda huwa tuko hot, mnatukosea sana mnavyotunyima hata nikichepuka kama matokeo ya kunyimwa huwa sijutii kabisa sijui kwa nini tuliumbwa kuwa hot muda wote
 
Nauliza tu kujifunza.huwezi jua kesho naweza kuwa na familia mume anaehangaika mi sielewi kitu
Je wanaume nao wanakuwaga na siku zao za joto kupanda ama hot days ambapo hormone zao zinakuwa juu na hamu pia?

Ama wao ni regular tu?

Nimezoea Kwa wanawake katika ule mzunguko wao Kuna siku zinaitwa za hatari ndio naita hot days,hizi siku ni balaa na nusu yake🙆

Katika hizi siku ndio mwanamke anakuwa kwenye uwezekano wa kubeba mimba Kwa 100%
Joto la mwili hupanda

Hormone zinaachiliwa kama zote,mayai ndani yanakuwa ready kutungisha mimba na ukeni kunakuwa wet na utelezi mda mwingi.yai lile likikosa kirutubisho toka Kwa mwanaume ndo linatokea na kushuka nje ya uke kama waste.

Hata Kwa mnyama mbwa pia,ana siku zake hatari,na wanatoka harufu Fulani inayomvuta dume hata kama Yuko mtaa wa saba ataruka ukuta amfate jike alipo.jike huwa anahangaika anatoa milio fulani mda wote na huwa anatoka utelezi.

Nadhani hii ni mahsusi kwajili ya kurahisha uumbaji na kujaza Dunia.
But my question...wanaume binadamu na nyie mna siku zenu au mnavutwa tu na majike?
Sisi kila sekunde, kila dakika, kila saa, kila siku, kila wiki, kila mwezi, kila mwaka ni Hot days...Hot days inapotea pale mwanaune anapokufa au kukosa goroli mbili
 
Nauliza tu kujifunza.huwezi jua kesho naweza kuwa na familia mume anaehangaika mi sielewi kitu
Je wanaume nao wanakuwaga na siku zao za joto kupanda ama hot days ambapo hormone zao zinakuwa juu na hamu pia?

Ama wao ni regular tu?

Nimezoea Kwa wanawake katika ule mzunguko wao Kuna siku zinaitwa za hatari ndio naita hot days,hizi siku ni balaa na nusu yake[emoji134]

Katika hizi siku ndio mwanamke anakuwa kwenye uwezekano wa kubeba mimba Kwa 100%
Joto la mwili hupanda

Hormone zinaachiliwa kama zote,mayai ndani yanakuwa ready kutungisha mimba na ukeni kunakuwa wet na utelezi mda mwingi.yai lile likikosa kirutubisho toka Kwa mwanaume ndo linatokea na kushuka nje ya uke kama waste.

Hata Kwa mnyama mbwa pia,ana siku zake hatari,na wanatoka harufu Fulani inayomvuta dume hata kama Yuko mtaa wa saba ataruka ukuta amfate jike alipo.jike huwa anahangaika anatoa milio fulani mda wote na huwa anatoka utelezi.

Nadhani hii ni mahsusi kwajili ya kurahisha uumbaji na kujaza Dunia.
But my question...wanaume binadamu na nyie mna siku zenu au mnavutwa tu na majike?
Ndomana mnapopambani 50/50 huwa tunawashangaa, mwanaume hajawahi kuwa sawa na mwanamke na haitakuja kutokea. Si unaona kama hapa unajaribu kulinganisha mambo yenu (wanawake) na mambo ya wanaume ukihisi kuna mfanano ila nikwambie tu: kwetu wabaume hakuna siku wala saa, ni muda wowote kinaamshwa. Mwanaume asipokuwa na stress akiona au kuhisi tu basi imoooo!
 
Bila shaka utakuwa unafanya research.

Always hot kama Sahara, especially zikipita siku 3 bila ya proper equalisation. Kila demu anageuka mzuri kuliko wote duniani. Akili haitulii kabisa na wala haufikirii logically tena hadi u-crack a nut. Inahitaji uwezo mkubwa wa kujitambua ili kuji-control. Au utaushia pabaya kwa kufirisika au kupata magonjwa na kufa.

Reach further for private classes.
 
Nauliza tu kujifunza.huwezi jua kesho naweza kuwa na familia mume anaehangaika mi sielewi kitu
Je wanaume nao wanakuwaga na siku zao za joto kupanda ama hot days ambapo hormone zao zinakuwa juu na hamu pia?

Ama wao ni regular tu?

Nimezoea Kwa wanawake katika ule mzunguko wao Kuna siku zinaitwa za hatari ndio naita hot days,hizi siku ni balaa na nusu yake🙆

Katika hizi siku ndio mwanamke anakuwa kwenye uwezekano wa kubeba mimba Kwa 100%
Joto la mwili hupanda

Hormone zinaachiliwa kama zote,mayai ndani yanakuwa ready kutungisha mimba na ukeni kunakuwa wet na utelezi mda mwingi.yai lile likikosa kirutubisho toka Kwa mwanaume ndo linatokea na kushuka nje ya uke kama waste.

Hata Kwa mnyama mbwa pia,ana siku zake hatari,na wanatoka harufu Fulani inayomvuta dume hata kama Yuko mtaa wa saba ataruka ukuta amfate jike alipo.jike huwa anahangaika anatoa milio fulani mda wote na huwa anatoka utelezi.

Nadhani hii ni mahsusi kwajili ya kurahisha uumbaji na kujaza Dunia.
But my question...wanaume binadamu na nyie mna siku zenu au mnavutwa tu na majike?
Ndio mzunguko wa wanaume uko hivi tukiwaga na pesa mfukoni tunakuwa hot sana Yani swala yoyote akipota mbele yetu ni halali yetu but mtonyo ukikata tunapowa kidogo na mda huo karibia Kila demu tunamuona Malaya tu mla hele zetu
 
Back
Top Bottom