Wanaume wana mbinu, Wanawake wana mitego

Wanaume wana mbinu, Wanawake wana mitego

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,579
Reaction score
161,430
Nadhani ni vigumu sana kuuelewa huu msemo. Lakini ukweli ndio huo, Wanawake kabla hawajaingia mapenzini, hupiga Hesabu kali huku wakijifanya malonya kumbe wewe mwanaume ndio boya.

Hebu jiulize huyo mwanamke uliyekuwa naye, ulimpata kwa ujuzi na mbinu zako au alikuonea huruma? Unajuaje kama hujajiingiza mtegoni mwenyewe? Muulize ni mstari gani Kati ya ile mingi niliyokupigisha saundi mvua ndio ulikuingia zaidi hadi ukanikubali?

Mwanamke ana jicho kali sana, anaweza kuku zooom kisha akayaona maisha yako ya miaka miwili ijayo. Hapa ndio unakuta demu mkali kuliko Pisi kali amemzimia MSELA WA MANZESE, halafu anasema nakupenda jinsi ulivyo, kumbe anaipenda ile green pasture anayoiona siku za usoni.

Rest in Eternal Peace Pius Ng'wandu
 




Nimekuelewa sana blaza
 
Bjbj, wanaume kwa mwanamke ni kama mkate mbele ya chai.
Samson mbabe wa dunia, aliangushwa na mwanamke.
Suleiman na hekima zake zote aliangushwa na WANAWAKE.
Bila akili mwanamke anakuangusha ndani ya sekunde sita na nusu
Shida ni hiyo honey pot katikati ya miguu yao. Sijui Muumba Aliweka nini pale! Hata uwe mwamba namna gani, hitaji hilo likija aisee utasarenda tu na samahani utaomba hata kama wewe ndiye uliyekosewa. Tulishaonywa kuwa tuishi nao kwa akili!
 
Shida ni hiyo kitu katikati ya miguu yao. Sijui Muumba Aliweka nini pale! Hata uwe mwamba namna gani, hitaji hilo likija aisee utasarenda tu na samahani utaomba hata kama wewe ndiye uliyekosewa. Tulishaonywa kuwa tuishi nao kwa akili!
Amini amini nakwambia, kale kadude kana ondoa kabisa akili za wanaume.
 
Shida ni hiyo kitu katikati ya miguu yao. Sijui Muumba Aliweka nini pale! Hata uwe mwamba namna gani, hitaji hilo likija aisee utasarenda tu na samahani utaomba hata kama wewe ndiye uliyekosewa. Tulishaonywa kuwa tuishi nao kwa akili!
Amini amini nakwambia, kale kadude kana ondoa kabisa akili za wanaume.
 
Bjbj, wanaume kwa mwanamke ni kama mkate mbele ya chai.
Samson mbabe wa dunia, aliangushwa na mwanamke.
Suleiman na hekima zake zote aliangushwa na WANAWAKE.
Bila akili mwanamke anakuangusha ndani ya sekunde sita na nusu
Mbona kina Paul,Peter,Daniel n.k hawakuangushwa na wanawake.
Hakuna mtu anayeweza ku-control fikra zako bila wewe kumpa mamlaka hiyo.
 
Shida ni hiyo honey pot katikati ya miguu yao. Sijui Muumba Aliweka nini pale! Hata uwe mwamba namna gani, hitaji hilo likija aisee utasarenda tu na samahani utaomba hata kama wewe ndiye uliyekosewa. Tulishaonywa kuwa tuishi nao kwa akili!
Ni kitu Kidogo lakini kina nguvu na mionzi ya Ajabu. Kwa kitu hichi cha ktk kina sababisha. Ufukara. Ujambazi. Ukichaa Uchizi. Balaa lote za dunia zinasababishwa na kitu hiki kidogo sana
 
nakumbuka kuna mdau alileta topic hapa jinsi walivyokuwa wanazamia kwenye nyumba za madem huko mashariki ya mbali...!
yaani ile unaingia unanyata kwenye geto ya beki3 huku umebana pumzi istoke hahahaha ngoja nicheke kwanza hii sio ishu ya kitoto kunyatia demu amelala!!ata ukiskia ushuzi unabana afu unakuwa unatembea km mwalimu ametoka kukuchapa.HEHEHE sasa iyo mbinu yako ya kunyata afu unafika unamtoa kidaka ye beki 3 katulia tuuu unazani ni ujanja wako au unategwa tuu
 
Back
Top Bottom