ODILI SAMALU
JF-Expert Member
- Dec 13, 2013
- 1,369
- 489
Wewe ndiyo unayedharau wanaume wafupi kwenye magroup ya whatasap haya bhna ila angalia uzao wako na mume wako wanaweza wakawa wafupi! Binafsi mimi ni mfupi na nakerwa sana na hizo mada za "urefu"Hiyo mitusi yenu wala hainitoboa kanyweni chai ya tangawizi thread za kuwasema wanawake wasio na makalio makubwa wapite hivii,wanakiwa wameumika ila hawajafa eeee?ukweli ndo huu wanaume wafupi,Mara wanawake wanamabaka Mara wanawake wanapapuchii sijui zikoje,Leo limewashuka hapa tutaenda saw a na huo ndo utafiti wangu nishauleta kwenu povu liwamwagike na nyie sasa