Hehe ulikutana na mwanaume mfupi mwenye mtarimbo nnMi napita tu...sitaki kukumbuka
Wala dear,nliwah kuanzisha thread kama ya hii but kivingine watu wafupi sijui wakaanza kumwagika povu vibaya hadi mmoja nikampigisha ban ya siku tatu..Loh[emoji134]Hehe ulikutana na mwanaume mfupi mwenye mtarimbo nn
Hiyo mitusi yenu wala hainitoboa kanyweni chai ya tangawizi thread za kuwasema wanawake wasio na makalio makubwa wapite hivii,wanakiwa wameumika ila hawajafa eeee?ukweli ndo huu wanaume wafupi,Mara wanawake wanamabaka Mara wanawake wzikoje,anapapuchii sijui Leo limewashuka hapa tutaenda saw a na huo ndo utafiti wangu nishauleta kwenu povu liwamwagike na nyie sasa
Haya bwana ila msitutenge wafupi tunajua kujariii na kupenda kwa dhatiiiWala dear,nliwah kuanzisha thread kama ya hii but kivingine watu wafupi sijui wakaanza kumwagika povu vibaya hadi mmoja nikampigisha ban ya siku tatu..Loh[emoji134]
Wewe si ndo umesema huolewi umebaki kuwa mtazamaji. Nimeelewa kwa nini,Raha ya mwanaume shurti akuinamia kukukiss akikuhug ujae kifuani ukitembea Nate umwangalie kwa juu kidogo siyo kitu nyundo chaaaaaaaaaaa,nyundo's pita hivi nasema
Nawatetea hao wakaka kwa sababu kwa nini uzingue halafu usitegemee ugomvi? Wewe ni aina fulani ya wale wanawake wanaopenda kuwa juu ya mwanaume kila kitu unataka uamue wewe ndani ya nyumba. SWALI: Katika ndoa zote au mahusiano yote yenye migogoro; Je; zinahusisha wakaka wafupi tu????Hii nimeikuta sehemu kuwa mwanaume waliotitia chini yani (wafupi) au mbegu fupi hata awe na mambo kiasi gani kwa gumu lake lazima umshindwe,yaani wanavisa,wachoyo,umimi na ubabe sasa nakujidai wanawivu.
Ukizingua tu sehemu yoyote ugomvi wake utaomba poo,hawakubali kushindwa ila vinaperformance nzuri on the bed ila kama unaweza kumudu mikiki yao.
Angalizo huwa havisahau mambo haraka usikikosee wala kukichuna ohooooo! Mimi napita zangu hivi naenda kwenye chai ya tangawizi.
Hayo mafunza mkikosa wa kuwaoa huwa yanaoondoka.. Wanake bana Wana penda kujiumbia wanaume ambao hawapo duniani.. Labda kwenye photo shop. Akiwa mrefu akose pesa nayo na disaster.Raha ya mwanaume shurti akuinamia kukukiss akikuhug ujae kifuani ukitembea Nate umwangalie kwa juu kidogo siyo kitu nyundo chaaaaaaaaaaa,nyundo's pita hivi nasema