hussein boxer
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 832
- 335
Mtu mfupi napita zangu
Unahakika wanaume alowadescribe hapo hawapo duniani?Hayo mafunza mkikosa wa kuwaoa huwa yanaoondoka.. Wanake bana Wana penda kujiumbia wanaume ambao hawapo duniani.. Labda kwenye photo shop. Akiwa mrefu akose pesa nayo na disaster.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Nikiwa natembea nakuwa makini sana, nisijewakanyaga nikidhani sisimizi kumbe tuandunje
Duuuuh!!!...ufupi ni aina mojawapo ya utapiamlo...kwa jina jingine unaitwa udumavu...ama stunting kwa kimombo....aina hii ya udumavu hutokea ndani ya miaka miwili ya mwanzo baada ya kuzaliwa...na ubaya wa aina hii ya udumavu ni kwamba ni irreversible...yani ukishatokea haurudi hata kama mtoto atalishwa na kulelewa vema...Kuna vyanzo/sababu nyingi za ufupi...nyingine zaweza kuwa za kurithiwa(genetical)...lakini ufupi mwingi kwenye context ya nchi zetu hizi maskini ni udumavu(stunting)... Na moja ya athari zake ni poor performance mashuleni....fanyeni tafiti mtaliona hili...
Wewe huna kalio?Hiyo mitusi yenu wala hainitoboa kanyweni chai ya tangawizi thread za kuwasema wanawake wasio na makalio makubwa wapite hivii,wanakiwa wameumika ila hawajafa eeee?ukweli ndo huu wanaume wafupi,Mara wanawake wanamabaka Mara wanawake wanapapuchii sijui zikoje,Leo limewashuka hapa tutaenda saw a na huo ndo utafiti wangu nishauleta kwenu povu liwamwagike na nyie sasa
Shida yako ni ufupi au kupigwa pumbu vizuri?Hiyo mitusi yenu wala hainitoboa kanyweni chai ya tangawizi thread za kuwasema wanawake wasio na makalio makubwa wapite hivii,wanakiwa wameumika ila hawajafa eeee?ukweli ndo huu wanaume wafupi,Mara wanawake wanamabaka Mara wanawake wanapapuchii sijui zikoje,Leo limewashuka hapa tutaenda saw a na huo ndo utafiti wangu nishauleta kwenu povu liwamwagike na nyie sasa
Kuwa na huruma, shauri yako.Raha ya mwanaume shurti akuinamia kukukiss akikuhug ujae kifuani ukitembea Nate umwangalie kwa juu kidogo siyo kitu nyundo chaaaaaaaaaaa,nyundo's pita hivi nasema
Mkishafika miaka 28 hakuna mtangaza nia,mmeshaumizwa na mapenzi,mnaanza kukesha makanisani kila siku na kuomba,Mungu aje yeyote tu nitamkubalia!...ha ha haaaa.hata hao wafupi muda huo hawataonekanaRaha ya mwanaume shurti akuinamia kukukiss akikuhug ujae kifuani ukitembea Nate umwangalie kwa juu kidogo siyo kitu nyundo chaaaaaaaaaaa,nyundo's pita hivi nasema
Acha hii dhambi, shauri yakokaranja we kijanaume kifupi? ptyuu
neno kuntu shoga...looh kijanaume unakibeba beba kitandani, had nyonga yauma
Utakuwa huna tako wewe? Vinasaba vya wahindi hapo vinahusika.Hiyo mitusi yenu wala hainitoboa kanyweni chai ya tangawizi thread za kuwasema wanawake wasio na makalio makubwa wapite hivii,wanakiwa wameumika ila hawajafa eeee?ukweli ndo huu wanaume wafupi,Mara wanawake wanamabaka Mara wanawake wanapapuchii sijui zikoje,Leo limewashuka hapa tutaenda saw a na huo ndo utafiti wangu nishauleta kwenu povu liwamwagike na nyie sasa
..walio bright hawajisemi...mkuu mbona me mfup lkn nakimbiza sana class yaan niko bright kinoma?