nyani jike
Senior Member
- Feb 23, 2016
- 176
- 223
Hii nimeikuta sehemu kuwa mwanaume waliotitia chini yani (wafupi) au mbegu fupi hata awe na mambo kiasi gani kwa gubu lake lazima umshindwe. Yaani wana visa, wachoyo, umimi na ubabe sasa na kujidai wana wivu.
Ukizingua tu sehemu yoyote ugomvi wake utaomba poo, hawakubali kushindwa ila vinaperformance nzuri on the bed ila kama unaweza kumudu mikiki yao.
Angalizo: Huwa havisahau mambo haraka, usikikosee wala kukichuna ohooooo!
Mimi napita zangu hivi naenda kwenye chai ya tangawizi.
Ukizingua tu sehemu yoyote ugomvi wake utaomba poo, hawakubali kushindwa ila vinaperformance nzuri on the bed ila kama unaweza kumudu mikiki yao.
Angalizo: Huwa havisahau mambo haraka, usikikosee wala kukichuna ohooooo!
Mimi napita zangu hivi naenda kwenye chai ya tangawizi.