Wanaume waliotitia chini (wafupi) pita hivi

Wanaume waliotitia chini (wafupi) pita hivi

Nilikuwepo [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
73723cfc3d721df2e14577637f235c05.jpg
 
Kibamiaaaaa? wewe tupinge halafu tuandae eneo la tukio ili nikuonjeshe KUBOTA machine ya Kijapani kama hujaomba poo, maana yake nakoboa mpaka povu jekundu linatokezea kwenye tigo,we chezea Andunje kama hujaenda kushonwa naniliu.
Una maneno we mwanaume.... Cha!
 
Hii nimeikuta sehemu kuwa mwanaume waliotitia chini yani (wafupi) au mbegu fupi hata awe na mambo kiasi gani kwa gumu lake lazima umshindwe,yaani wanavisa,wachoyo,umimi na ubabe sasa nakujidai wanawivu.

Ukizingua tu sehemu yoyote ugomvi wake utaomba poo,hawakubali kushindwa ila vinaperformance nzuri on the bed ila kama unaweza kumudu mikiki yao.

Angalizo huwa havisahau mambo haraka usikikosee wala kukichuna ohooooo! Mimi napita zangu hivi naenda kwenye chai ya tangawizi.
wee nyani jike mambo ya wanadamu yanakuhusu nini?
 
Hii nimeikuta sehemu kuwa mwanaume waliotitia chini yani (wafupi) au mbegu fupi hata awe na mambo kiasi gani kwa gumu lake lazima umshindwe,yaani wanavisa,wachoyo,umimi na ubabe sasa nakujidai wanawivu.

Ukizingua tu sehemu yoyote ugomvi wake utaomba poo,hawakubali kushindwa ila vinaperformance nzuri on the bed ila kama unaweza kumudu mikiki yao.

Angalizo huwa havisahau mambo haraka usikikosee wala kukichuna ohooooo! Mimi napita zangu hivi naenda kwenye chai ya tangawizi.
Nyani jike teh
 
kasoro si maumbile au rangi ya mwilini na hakuna aliyejiumba kumbuka!!!ila na ninyi wanaume mmezidi kila siku kuwasema wanawake tu mara ooh wenye makalio mara weupe mara weusi mara wanene mara vimbaumbau...mkomeeeee
 
Una maneno we mwanaume.... Cha!
Sio hivyo mamii,najaribu kukupa mshawasha ili nawe upate msisimko au niseme mfazaiko wenye tija,si unajua binadamu akipata hisia za kunaniliu kuna hormone inaitwa dopamine au serotonin huwa inazlishwa kwa wingi na kusababisha relaxation ya hali ya juu ambayo ni kinga dhidi ya mtindio wa ubongo(DEPRESION) au dhiki(stress) na kinga ya BLOOD PRESSURE,unatakiwa unipe asante kwa kukupa mshawasha mamisuu au vipi?.
 
Dada usikosoe uumbaji wa MUNGU hata wao hawajapenda kuwa hivyo ila Mungu ndio kawaumba hivyo. Km ww ni mrefu mshukuru Mungu ila usiwadharau unaowazid urefu. Usimcheke mwenzio sbb bado unaishi hii ktk hii dunia unaweza kujikuta unazaa mbilikimo. Ukipata shukuru na uwaombee wenzio. Kwa jins unavyoonesha huyo mpenz wako ana kaz ziada.Acha kukosoa uumbaji wa MWENYE EZI MUNGU utalaaniwa ww.Kwan ww umejirefusha au? Ndio maana hakuna dawa ya hii kituTHINK BIG
 
wafupi sisi ni duniani tu mbinguni sisi ndo warefu na tutaishi milele we ngoja sayari igongwe mapema tu mwaka huu
 
Dada usikosoe uumbaji wa MUNGU hata wao hawajapenda kuwa hivyo ila Mungu ndio kawaumba hivyo. Km ww ni mrefu mshukuru Mungu ila usiwadharau unaowazid urefu. Usimcheke mwenzio sbb bado unaishi hii ktk hii dunia unaweza kujikuta unazaa mbilikimo. Ukipata shukuru na uwaombee wenzio. Kwa jins unavyoonesha huyo mpenz wako ana kaz ziada.Acha kukosoa uumbaji wa MWENYE EZI MUNGU utalaaniwa ww.Kwan ww umejirefusha au? Ndio maana hakuna dawa ya hii kituTHINK BIG
 
Back
Top Bottom