Wanaume waliotitia chini (wafupi) pita hivi

Wanaume waliotitia chini (wafupi) pita hivi

Dada usikosoe uumbaji wa MUNGU hata wao hawajapenda kuwa hivyo ila Mungu ndio kawaumba hivyo. Km ww ni mrefu mshukuru Mungu ila usiwadharau unaowazid urefu. Usimcheke mwenzio sbb bado unaishi hii ktk hii dunia unaweza kujikuta unazaa mbilikimo. Ukipata shukuru na uwaombee wenzio. Kwa jins unavyoonesha huyo mpenz wako ana kaz ziada.
Acha kukosoa uumbaji wa MWENYE EZI MUNGU utalaaniwa ww.
Kwan ww umejirefusha au? Ndio maana hakuna dawa ya hii kitu
THINK BIG
 
Wakati mwingine tuwe tunaweka akiba ya maneno
 
Sio vizuri kumkashfu mwanadam hasa ktk upande wa maumbile yake unakuwa unaingilia kazi ya mungu
 
Sio vizuri kumkashfu mwanadam hasa ktk upande wa maumbile yake unakuwa unaingilia kazi ya mungu

Acheni inferiority complexes hizo. Katoa sifa za wafupi na udhaifu wao. Mbona wanene na wenye vibamia wamesemwa sana humu? Watu wengine mnakuja kufanya nn jf?? Huku kunataka roho ngumu.
 
Sio hivyo mamii,najaribu kukupa mshawasha ili nawe upate msisimko au niseme mfazaiko wenye tija,si unajua binadamu akipata hisia za kunaniliu kuna hormone inaitwa dopamine au serotonin huwa inazlishwa kwa wingi na kusababisha relaxation ya hali ya juu ambayo ni kinga dhidi ya mtindio wa ubongo(DEPRESION) au dhiki(stress) na kinga ya BLOOD PRESSURE,unatakiwa unipe asante kwa kukupa mshawasha mamisuu au vipi?.
I can't you kwakweli
 
Hii nimeikuta sehemu kuwa mwanaume waliotitia chini yani (wafupi) au mbegu fupi hata awe na mambo kiasi gani kwa gubu lake lazima umshindwe. Yaani wana visa, wachoyo, umimi na ubabe sasa na kujidai wana wivu.

Ukizingua tu sehemu yoyote ugomvi wake utaomba poo, hawakubali kushindwa ila vinaperformance nzuri on the bed ila kama unaweza kumudu mikiki yao.

Angalizo: Huwa havisahau mambo haraka, usikikosee wala kukichuna ohooooo!

Mimi napita zangu hivi naenda kwenye chai ya tangawizi.
Ukiona hivyo ujue una pango kama la amboni kwa hyo unatafta kiki tu
 
Ki uhalisia binaadamu mbegu fupi a.k.a (VIROBA)ni watata na hua hawajiamini mbele ya binaadamu waliobarikiwa urefu.
 
Duuuh! Ngoja niwe pembeni niangalie mtanange. But naweza kujitolea kuwa refa. Halafu wewe nyani jike una uchokozi na watu.

Ila kama una-recruit mtu mrefu basi perhaps I can be a good match...ha ha haaah
 
hee yangu macho tu....kilamtu na ladha yake...we unawasema wengine wanawalilia ....... haya wamesikia
 
...ufupi ni aina mojawapo ya utapiamlo...kwa jina jingine unaitwa udumavu...ama stunting kwa kimombo....aina hii ya udumavu hutokea ndani ya miaka miwili ya mwanzo baada ya kuzaliwa...na ubaya wa aina hii ya udumavu ni kwamba ni irreversible...yani ukishatokea haurudi hata kama mtoto atalishwa na kulelewa vema...Kuna vyanzo/sababu nyingi za ufupi...nyingine zaweza kuwa za kurithiwa(genetical)...lakini ufupi mwingi kwenye context ya nchi zetu hizi maskini ni udumavu(stunting)... Na moja ya athari zake ni poor performance mashuleni....fanyeni tafiti mtaliona hili...
mkuu mbona me mfup lkn nakimbiza sana class yaan niko bright kinoma?
 
Short men must consider wearing high heels shoes as alternative to overcompensating by being abrasive/aggressive.
 
Hii nimeikuta sehemu kuwa mwanaume waliotitia chini yani (wafupi) au mbegu fupi hata awe na mambo kiasi gani kwa gubu lake lazima umshindwe. Yaani wana visa, wachoyo, umimi na ubabe sasa na kujidai wana wivu.

Ukizingua tu sehemu yoyote ugomvi wake utaomba poo, hawakubali kushindwa ila vinaperformance nzuri on the bed ila kama unaweza kumudu mikiki yao.

Angalizo: Huwa havisahau mambo haraka, usikikosee wala kukichuna ohooooo!

Mimi napita zangu hivi naenda kwenye chai ya tangawizi.
***
haisee umewadharau mno do! but its ok!
 
Back
Top Bottom