Wanaume waliotaka kunioa nikakataa hawa hapa

Wanaume waliotaka kunioa nikakataa hawa hapa

Mapenzi hayaangalii hayo, penzi linatoka ndani ya moyo. Hizo ni sifa za mtu tuu, na kama mtoa mada amesema yeye hakumpenda ila alipenda mali zake, kwa hiyo alivyokutana na sifa ya uchafu akaamua kuacha vyoote. Lakini pangekuwa na penzi la kweli huo uchafu anaouwezo wa kuubadili kuwa usafi!!!
Upendo ni kila kitu Mkuu!!
Umenena vyema kabisa, hakukuwa na true love hapo.
 
Doh wakati nasoma huko juu nikaanza kuandaa mistari ya kukulaum,ila kufika uku mwisho naona ushirikina tena nakuunga mikono yote miwil na miguu ukitaka[emoji23]
Ningekulaumu kwa kua mi hao wachafu ndo nawapendaga,mana najua ntafanya juhud za kumbadlisha mpk apo kwake pawe km ni palace ndogo[emoji23]hata tukija kuachana atakua ananikumbuka kwa mengi,ila ukikutana na mwanaume msafi,anadeki nyumba fresh,anafua,anapika na kukaanga rosti la maana doh hawa bana huaga wana vidharau flani iv
 
Doh wakati nasoma huko juu nikaanza kuandaa mistari ya kukulaum,ila kufika uku mwisho naona ushirikina tena nakuunga mikono yote miwil na miguu ukitaka[emoji23]
Ningekulaumu kwa kua mi hao wachafu ndo nawapendaga,mana najua ntafanya juhud za kumbadlisha mpk apo kwake pawe km ni palace ndogo[emoji23]hata tukija kuachana atakua ananikumbuka kwa mengi,ila ukikutana na mwanaume msafi,anadeki nyumba fresh,anafua,anapika na kukaanga rosti la maana doh hawa bana huaga wana vidharau flani iv


sana mara nyingi huwa wanamashauzi fulan !kazi sana kustick nao
 
Aiseee hiyo ya kuishi nyumba chafu nasubiria
Je amekuwaje sasa hivi?
 
sana mara nyingi huwa wanamashauzi fulan !kazi sana kustick nao
Hawa mi siwawezi,ukipika anakwambia chumvi nyingi,ukideki anasema hujakausha vizur,ukifua atakwambia mbona hii nguo haijatakata,kanda chapati sasa,atakwambia chapati zako ngumu,af hazijachambuka[emoji23]utasema ulikua unakanda wali sasa[emoji23]
Natakaga jitu rafu nilibadilishe apo ndo napojizolea sifa ya uwaifu matilio
 
Halafu inaonekana huyu mdada atakuwa na body kama ya Masogange, na ule msambwanda akiwa nao utafaidi sana mkuu.
dah yaaani nahisi atakuwa kama sanchiworld... naishia kula ndotoni tuuuu. ananifuruga akili vibaya mnoooooo
 
sio kwamba sipendi kuolewa jamani au sio kwamba sijawai kupata wa kunioa , ila yaani waoaji wangu sijui nisemeje .ngoja niseme kwa ufupi muamue wenyewe

muoaji namba moja
huyu jamaa kweli kabisa alitaka kuniweka ndani hata sasa hivi nikitaka ila story yake ipo hivi
huyu jamaa ni rafiki yake na boss wangu . wanafanya biashara zingine pamoja.wanajuana miaka na miaka .alinijulia ofsini pia boss wangu akawa anamwambia bwana miss yupo fresh muoe huyu .jamaa alishaoa sema mke akaondoka na alishaolewa na jamaa mwingine ana mtoto mmoja . na ni muhenga tu fresh ambazo ndo flavour zangu..jamaa akanitongoza kweli nikakubali .tukaanza mahusiano.kusema kweli sijawai kumpenda hata sema nikawa nalazimisha tu niolewe yaishe. maana ana nyumba ana gari yupo fresh .nilipanga nitampendea mbele ya safari
siku moja akanialika home kwake nikalale huko .sikuwai kufika kwake , usiku mmoja huo nikaenda kwake ilikuwa ijumaa nikashuka kituoni akaja na gari tukaingia mtaani hadi kwake ni jirani na huyo boss wangu japo yeye haishi hapo anakaa nje ya nchi anakujaga tu mara chache.ndo maana nilienda usiku.
nyumba ilikuwa nzuri saaana kwa nje nikasema mama mwenye nyumba mimi Mungu anipe nini tena jomonii?
haya nikashuka kwenye gari mlango ukafunguliwa nikaingia ndani .mama weeeeeeeeeeeee
Yaani palikuwa pachaaaafu pachafu .yaani jamani mimi sio msafi wala msidhanishie nina dharau ,am the coolest person ever! Yaani sofa ni chaafu zimechooka yaani hata panya haishi mle.nikatoa khanga yangu kwenye pochi nikatandika nikakaa huku full chafya *****.

Mdogo wake wa kiume alikuwa anaandaa msosi nikamwambia nikusaidie akasema poa yaani jikoni nilivofika na navopenda msosi apetite ilikata toka siku ile mpaka kesho jomoni . in short that house was hell men

Chumbani sasa.
Chumbani sasa. Yaani nguo zote zimetundikwa kwenye kitanda yaani masuruali mengine yamefuliwa mabichi ,maana kilikuwa kipindi cha mvua, yaani hakuna hewa kusema kweli. Nikamwambia bwana hee twende tukalale kwangu hapa mbu hivi pia nina pumu nitakufa humu . japo sina pumu nilidanganya.

Tukaondoka usiku huo hadi kwangu saa saba hiyo
Hapo nimeshikwashikwa hadi basi nimekereka wee
basi jomoni tulivofika kwangu nikamwambia bwana mimi siwezi kumlaza mwanaume nyumbani kwangu kwetu mila haziruhusu kabisa yaani tukabishana wee akakubali akasepa . nikamuahidi ningeenda kwake asubuhi pia muda huo mbu watakuwa hawapo akakubali so nikawa nimenusurika siku hyo kuliwa papuchi japo mdomo na mtindi uliipata fresh

basi tukaendelea hivo hivo na maisha akanialika tena kwake maana mimi huwa sikubali kugegedwa lodge .ilikuwa siku ya jpili so nikaplan kwenda asubuhi ili nikashinde huko nipike pike etc
nikaondoka home saa moja kamili na bajaji aisee elf 15 ilinitoka maana ni mbali .nyumba nikaikuta chafu vile vile kama nilivoiacha yaani acheni tu vile mnaandika hapa kwa vile hamjaona mnaniponda.ila nifupishe tu story kumbe yule bwana hatakiwi kufanya usafi home kwake .ni mshirikina nitakuja kufafanua baadae



mchumba namba mbili
huyu jamaa alinipenda saaana toka namaliza chuo . nilikuwa namringia maana aliishia la saba . nikamuacha nikadate watu wengine nikateswa huko weee nakuja kumrudia kwenda kupimana HIV .kumbe alishapata .ameoa mwaka jana mdada mzuri hatare halafu ananirushia vijembe sana yule dada maskini hajui mwenzake nilimuachia msala pale .huyo dada ni rafiki yangu sana . sijawai mwambia mtu yoyote kwamba jamaa ni muathirika ni siri yangu na yeye na dokta alietupima .ananiheshimu sana jamaa maana namtunzia siri yake .ila mkewe anaona kanikomoa eti niliachwa nyooo aaachwe nani .ngoja aanze kuisoma namba

naombeni muwe watulivu jamani acheni matusi kunihukumu ni mwishoni
Upo pande zipi mtu wangu
 
Back
Top Bottom