Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Siwezi.Kumbee mpaka wanakuazima hayo magauni yako yaliyokaa kama gunia? Wakati walikuwa wanakunanga.
Basi kumbe hawajielwi kweli.
Lakin na wewe si huwa unavaa siku moja moja ukienda viwanja ama??
Sio wote lakini..Hawa Ni wale wachache enzi izo za chuo
