Wanaume walioharibika akili

Wanaume walioharibika akili

Yaani mkuu ni aibu mno. Zamani mwanamke ndiye aliyekuwa analia machozi kwa kutoamini kama kweli kavishwa pete!! Mpaka wakati wa ndoa ilikuwa ni kilio kwa binti, sasa siku hizi sijui wanaume ndio wanakuwa hawaamini kama wamekubaliwa kuoa hawa mabinti!!?

Maana yake hapa ni kuwa kijana ndiyo anakuwa amebahatika ku,woa binti, ila huyu mke wala hana pressure na jamas. Hivyo kudumu kwa ndoa za aina hii kwa kiasi kikubwa kunategemea utii wa mwanamume kwa mkewe. Mke ni kama hana cha kupoteza isipokuwa mume, na hivyo mwenye ndoa hapa ni mke. Huu ni upuuzi wa hali ya juu na mwanamume wa aina hii keshaikana asili yake.
Wanavyosema wao eti ile ni ishara ya appreciation for being accepted kumuoa binti, lakini ile ina maana nzito sana na haishii pale tu, kwa taratibu za kimila za jamii zingine kupiga goti inatoa tafsiri ya kwamba kwenye jambo zito/kubwa uko tayari kupisha na kukaa kando huku yule uliyempigia goti ukimuona ndio anastahili kuongoza kimaamuzi.

Nachoshukuru kuna jamii huu upuuzi wa kupiga goti kwa mwanamke haupo kabisa ikiwemo ya kwangu mimi.
 
Yaani mkuu ni aibu mno. Zamani mwanamke ndiye aliyekuwa analia machozi kwa kutoamini kama kweli kavishwa pete!! Mpaka wakati wa ndoa ilikuwa ni kilio kwa binti, sasa siku hizi sijui wanaume ndio wanakuwa hawaamini kama wamekubaliwa kuoa hawa mabinti!!?

Maana yake hapa ni kuwa kijana ndiyo anakuwa amebahatika ku,woa binti, ila huyu mke wala hana pressure na jamas. Hivyo kudumu kwa ndoa za aina hii kwa kiasi kikubwa kunategemea utii wa mwanamume kwa mkewe. Mke ni kama hana cha kupoteza isipokuwa mume, na hivyo mwenye ndoa hapa ni mke. Huu ni upuuzi wa hali ya juu na mwanamume wa aina hii keshaikana asili yake.

Ili jambo nila kukemea maana naona vijana wengi wameanza adapt ujinga huu ..sijui nini kifanyike kujikomboa na ili jangwa
 
Superior men are in the verge of extinction, i mean the alpha males who can truly uphold their masculinity regardless of what a current stereotypical sociatel standards will put you at.

Now days we have a lot weaklings(not men) that have been programmed by our foolish societies to behave in particular manners.

As men We have almost lost our originality in terms of power of decisions making, hardworking, vision, thinking ways,adamance and determination. Only fewer still hold these features as it's originally supposed to be.

Today's society wants us to conform the standards it has already set for us, we are supposed to be as less rigid and polite as possible, we are supposed to seek for public validation on the decisions we make, we are supposed to live equivalently and harmoniously with opposite sex, etc! If you dare go in opposite way you will be shamed and painted as weak man.

My pity is for men of next generation, the foolish societies prepare the worst unknown set of men that will be too insignificant.
 
So far so terrible!! is this the best you can come out with after reading this lengthy meaningful unbiased post?

Nice job lady!!
Mkuu achana na huyo kiumbe, Bwana Nyenyere keshamzungumzia katika mstari huu "Unakuta mwanamke anavaa vinguo vya kuonyesha maungo, amekwenda kwa mchina kuongeza tako, ni mtumiaji pombe, ni mtu wa kujirusha viwanja n.k. "

Wana wake wa kariba yake ni ngumu sana kuwabadilisha na ukijaribu kuwakemea au kuwaambia wanayofanya si sahihi wanaanza kurusha matusi ya hovyo, Yupo huyu mdada na wenzake wengi tu aina ya kina Demiss na kawaida ya wanawake malaya wana matusi mengi yako kwenye tip ya ulimi wao.

Ahsante bwana nyenyere kwa uzi bora wa mwaka.
 
Ukweli usiopingika mkuu hapo kwenye suala la mavazi ndio dunia imefeli kabisa unakuta mwanaume kavaa vazi limemshika kweli kweli sijui ndio wanamaanisha nini.
 
Mkuu achana na huyo kiumbe, Bwana Nyenyere keshamzungumzia katika mstari huu "Unakuta mwanamke anavaa vinguo vya kuonyesha maungo, amekwenda kwa mchina kuongeza tako, ni mtumiaji pombe, ni mtu wa kujirusha viwanja n.k. "

Wana wake wa kariba yake ni ngumu sana kuwabadilisha na ukijaribu kuwakemea au kuwaambia wanayofanya si sahihi wanaanza kurusha matusi ya hovyo, Yupo huyu mdada na wenzake wengi tu aina ya kina Demiss na kawaida ya wanawake malaya wana matusi mengi yako kwenye tip ya ulimi wao.

Ahsante bwana nyenyere kwa uzi bora wa mwaka.
Asante sana mkuu kwa kuliona hilo.

Mawazo yako yana ukweli mwingi sana.

Uzuri saikolojia ya wanawake ni simple sana kuielewa, wako so transparent hawajifichagi kukiwa na jambo.

Ukiona mtu analeta comment mbovu kwenye mada isiyokuwa na upande kama hii ni dhairi huyo kuna kipengele kimemgusa ana comment vile walau kujipa relief sababu amechukia upuuzi kuona upuuzi wake ukiongelewa humu.
 
Ili jambo nila kukemea maana naona vijana wengi wameanza adapt ujinga huu ..sijui nini kifanyike kujikomboa na ili jangwa
Mbaya zaidi limechukuliwa kama ndio ishara ya upendo kwa mwanamke. Yaani ni ujinga uliogeuzwa utaratibu, tunakoelekea wanawake watakuwa wanadai kufanyiwa hivyo.
 
Superior men are in the verge of extinction, i mean the alpha males who can truly uphold their masculinity regardless of what a current stereotypical sociatel standards will put you at.

Now days we have a lot weaklings(not men) that have been programmed by our foolish societies to behave in particular manners.

As men We have almost lost our originality in terms of power of decisions making, hardworking, vision, thinking ways,adamance and determination. Only fewer still hold these features as it's originally supposed to be.

Today's society wants us to conform the standards it has already set for us, we are supposed to be as less rigid and polite as possible, we are supposed to seek for public validation on the decisions we make, we are supposed to live equivalently and harmoniously with opposite sex, etc! If you dare go in opposite way you will be shamed and painted as weak man.

My pity is for men of next generation, the foolish societies prepare the worst unknown set of men that will be too insignificant.

Those few who still hold to the norms the society sees them to be strangers. They find it really hard to fit in the modern spoilled society. They are taken to be a laughing stock!!
 
Ukweli usiopingika mkuu hapo kwenye suala la mavazi ndio dunia imefeli kabisa unakuta mwanaume kavaa vazi limemshika kweli kweli sijui ndio wanamaanisha nini.
Mkuu, nilijaribu kufuatilia hii kitu inayoitwa fashion trend hasa kwa upande wa wanaume baada ya kuona tunakokwenda kunatia shaka. Ukweli nilioupata ndio huo, madesigner wakubwa na waandaaji wa fashion shows ni wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja. Watu hawa ndio wenye nguvu kwenye mambo ya mavazi na ndio wanaotupatia fashion mpya mpya kila siku.

Mfano mdogo nilioupata ni kwa vazi la suti. Kumbuka aina ya suti za kale, mabega yalikuwa squre, yaani sio ya kuteleza. Pia kola ilivyokuwa ni tofauti na sasa. Unajua aliyetuletea suti za kisasa ni nani? Anaitwa Calvin Klein, mbunifu wa mavazi mbali mbali zikiwemo chupi na jeans. Sasa huyu jamaa ni shoga, hivyo alitaka aina ya suti itakayomchora mwanamume maungo yake, pia mabega yawe ya kuteleza(kuondoa zile pembe kali). Akalibana koti liendane na mwili pia, huku akiondoa three button na kuweka vishikizo viwili huku suti ikichanua chini kuacha tumbo wazi!! Akaibana suruali pia kisha akaanzisha ushonaji wa suti za rangi mbalimbali nje ya zike rangi tradition. Hollywood yoote ikachukua fashion hiyo, ikaenea kwa kasi ya ajabu na sasa bwana Calvin Klein ana utajiri unaokadiriwa kuwa dollar bilioni nane ingawa ameshauza kampuni yake.

Pia ujue kuwa huyu jamaa ndiye aliyebuni hizi jeans za kubana mwili. Leo hii ndio unamwona mwwnamume amevaa jeans ya kuenda na mwili, huku kiuno cha hiyo jeans kilichopaswa kuwa kiunoni hakifiki huko, kinaishia nusu matako (ingaww bado tunaita kiuno). Ukimtazama mwanamume aloyekaa unaona mchirizi wa matako mpaka yalupogusa kiti kama hajavaa chupi. Ni ubunifu wa shoga huo, sasa tutegemee aina gani ya nguo?

View attachment 1191111
 
Those few who still hold to the norms the society sees them to be strangers. They find it really hard to fit in the modern spoilled society. They are taken to be a laughing stock!!
Yes indeed mate!! It is believed that only 20% of all men is yet to be modernized hence these few ones who still possess true virtues of man are characteristically profiled as pigs, ignorant, naive, dumb etc! Meanwhile the 80% who have literally thrown away their true manly virtues and become conformists are hailed, praised and honored as real men. That's Funny society we live in.
 
Mkuu, nilijaribu kufuatilia hii kitu inayoitwa fashion trend hasa kwa upande wa wanaume baada ya kuona tunakokwenda kunatia shaka. Ukweli nilioupata ndio huo, madesigner wakubwa na waandaaji wa fashion shows ni wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja. Watu hawa ndio wenye nguvu kwenye mambo ya mavazi na ndio wanaotupatia fashion mpya mpya kila siku.

Mfano mdogo nilioupata ni kwa vazi la suti. Kumbuka aina ya suti za kale, mabega yalikuwa squre, yaani sio ya kuteleza. Pia kola ilivyokuwa ni tofauti na sasa. Unajua aliyetuletea suti za kisasa ni nani? Anaitwa Calvin Klein, mbunifu wa mavazi mbali mbali zikiwemo chupi na jeans. Sasa huyu jamaa ni shoga, hivyo alitaka aina ya suti itakayomchora mwanamume maungo yake, pia mabega yawe ya kuteleza(kuondoa zile pembe kali). Akalibana koti liendane na mwili pia, huku akiondoa three button na kuweka vishikizo viwili huku suti ikichanua chini kuacha tumbo wazi!! Akaibana suruali pia kisha akaanzisha ushonaji wa suti za rangi mbalimbali nje ya zike rangi tradition. Hollywood yoote ikachukua fashion hiyo, ikaenea kwa kasi ya ajabu na sasa bwana Calvin Klein ana utajiri unaokadiriwa kuwa dollar bilioni nane ingawa ameshauza kampuni yake.

Pia ujue kuwa huyu jamaa ndiye aliyebuni hizi jeans za kubana mwili. Leo hii ndio unamwona mwwnamume amevaa jeans ya kuenda na mwili, huku kiuno cha hiyo jeans kilichopaswa kuwa kiunoni hakifiki huko, kinaishia nusu matako (ingaww bado tunaita kiuno). Ukimtazama mwanamume aloyekaa unaona mchirizi wa matako mpaka yalupogusa kiti kama hajavaa chupi. Ni ubunifu wa shoga huo, sasa tutegemee aina gani ya nguo?

View attachment 1191111
Daaah!!! Inasikitisha sana nilikuwa sina info zozote za huyu Calvin Klein zaidi ya kuona brand yake tu kila mahali.
 
Daaah!!! Inasikitisha sana nilikuwa sina info zozote za huyu Calvin Klein zaidi ya kuona brand yake tu kila mahali.
Vipi wewe umenusurika hapa!??
Hizi suruali zinazowaacha Kaka zetu matako na boksa nje
 
Mkuu, nilijaribu kufuatilia hii kitu inayoitwa fashion trend hasa kwa upande wa wanaume baada ya kuona tunakokwenda kunatia shaka. Ukweli nilioupata ndio huo, madesigner wakubwa na waandaaji wa fashion shows ni wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja. Watu hawa ndio wenye nguvu kwenye mambo ya mavazi na ndio wanaotupatia fashion mpya mpya kila siku.

Mfano mdogo nilioupata ni kwa vazi la suti. Kumbuka aina ya suti za kale, mabega yalikuwa squre, yaani sio ya kuteleza. Pia kola ilivyokuwa ni tofauti na sasa. Unajua aliyetuletea suti za kisasa ni nani? Anaitwa Calvin Klein, mbunifu wa mavazi mbali mbali zikiwemo chupi na jeans. Sasa huyu jamaa ni shoga, hivyo alitaka aina ya suti itakayomchora mwanamume maungo yake, pia mabega yawe ya kuteleza(kuondoa zile pembe kali). Akalibana koti liendane na mwili pia, huku akiondoa three button na kuweka vishikizo viwili huku suti ikichanua chini kuacha tumbo wazi!! Akaibana suruali pia kisha akaanzisha ushonaji wa suti za rangi mbalimbali nje ya zike rangi tradition. Hollywood yoote ikachukua fashion hiyo, ikaenea kwa kasi ya ajabu na sasa bwana Calvin Klein ana utajiri unaokadiriwa kuwa dollar bilioni nane ingawa ameshauza kampuni yake.

Pia ujue kuwa huyu jamaa ndiye aliyebuni hizi jeans za kubana mwili. Leo hii ndio unamwona mwwnamume amevaa jeans ya kuenda na mwili, huku kiuno cha hiyo jeans kilichopaswa kuwa kiunoni hakifiki huko, kinaishia nusu matako (ingaww bado tunaita kiuno). Ukimtazama mwanamume aloyekaa unaona mchirizi wa matako mpaka yalupogusa kiti kama hajavaa chupi. Ni ubunifu wa shoga huo, sasa tutegemee aina gani ya nguo?

View attachment 1191111
Unakuta kijana amevaa suruali huku chini imemshika hiyo Hadi unajiuliza sijui anaivua vipi.
Haijafika juu kiunoni,imeishia matakoni halafu huku boxer lake km fuko la mkaa liko nje linaning'inia .
Halafu wanajionaga wajanja hao ..kumbe Ni wapuuzi tu.
Wazazi muwe mnawanyoosha Hawa vijana maana wamechanganyikiwa
 
Back
Top Bottom