Wanaume walioharibika akili

Wanaume walioharibika akili

Unakuta mwanaume anapiga goti kumvisha mtu wake pete ya uchumba afu anaanza kulia..ili jambo linazidi kushika kasi
Yaani mkuu ni aibu mno. Zamani mwanamke ndiye aliyekuwa analia machozi kwa kutoamini kama kweli kavishwa pete!! Mpaka wakati wa ndoa ilikuwa ni kilio kwa binti, sasa siku hizi sijui wanaume ndio wanakuwa hawaamini kama wamekubaliwa kuoa hawa mabinti!!?

Maana yake hapa ni kuwa kijana ndiyo anakuwa amebahatika ku,woa binti, ila huyu mke wala hana pressure na jamas. Hivyo kudumu kwa ndoa za aina hii kwa kiasi kikubwa kunategemea utii wa mwanamume kwa mkewe. Mke ni kama hana cha kupoteza isipokuwa mume, na hivyo mwenye ndoa hapa ni mke. Huu ni upuuzi wa hali ya juu na mwanamume wa aina hii keshaikana asili yake.
 
Back
Top Bottom