Sasa mada inaelekea kusiko mimi naona mitandao imetuharibu wanaume hapo awali sura ya mbunye tulikuwahv kwa nini kulikuwa na sodoma na gomora?
Utafiti: Nusu ya wanaume nchini wagumba
UTAFTI mpya umebaini kuwa nusu ya wanaume nchini ni wagumba ukipingana madai ya wengi kuwa tatizo hilo linawaathiri zaidi wanawake.Kwa mujibu wa utafiti huo, uliofanywa na Chuo Kikuu cha Tiba Muhimbili kati ya mwaka 2009 na Septemba 2010 unaonyesha, asilimia 47.05 ya wanaume wanaokwenda kupima afya zao za uzazi, hawana uwezo wa kutungisha mimba.Malengo ya utafiti huo uliosimamiwa na Dk Henry Mwakyoma, yalikuwa ni kubaini ni kwa kiasi gani wanaume huweza kuathiriwa katika via vyao vya uzazi na hatimaye kushindwa kutungisha mimba.
Utafiti huo ulionyesha kati ya wanaume 221 waliopimwa, asilimia 30.03 walikuwa na mbegu dhaifu na asilimia 17.02 walikuwa hawana kabisa mbegu zenye uwezo wa kutungisha mimba, zaidi ya maji tu.
Akizungumza katika mahojiano maalumu na Mwananchi, Dk Mwakyoma alisema, ugumba kwa wanaume limekuwa tatizo sugu katika miaka ya hivi karibuni.
Utafiti: Nusu ya wanaume nchini wagumba
Hapo tuko pamoja...SABABU lesbianism is a political choice, haihusiani kabisa na wanaume :biggrin:
SIO kweli ugumba wa wanaume ndo unasababisa lebainism kwa wanawake!!!Hat kidogo,utafiti wenyewe unasema hawana uwezo wa kutungisha mimba na sio uwezo wa jogoo kuwika!!! kama mambo madogo hivi mnashindwa tofautisha mnaishia kujiogopesha tu hii ni hatari zaid ya hatar yenyewe!!
Pili ina maana huyo mshkaji ndo mfano wa wagumba au???
Ndio na mimi namshangaa... kwani kaambiwa lesbians are lesbians because there are no men?
Sasa mada inaelekea kusiko mimi naona mitandao imetuharibu wanaume hapo awali sura ya mbunye tulikuwa
Hatuijui leo hata t££o kuinyonya tumekinai hivi huyo abdalla kichwa wazi atasimama kweli akiliona paja?
Dada zetu wana makosa wanatakiwa watuanzie romance za mbali turudishe fikra na kusahau uchovu
Napingana na mada Clinic zimejaa @ lep hao ni madume ya mbegu
Pili ina maana huyo mshkaji ndo mfano wa wagumba au???
Hata kama wanaume wangekua hawapo, do you really think that just one generation would swich from hetero to lesbians? Nadhani wnaonekana kua wengi zaidi sababu mtazamo wa jamii unawaruhusu kuonekana, but they have always been there.kama mwanaharakati wa jinsia na ufeministi nilikuwa naamini hiyo sio sababu ila, lo, kumbe ni sababu kubwa sana: there are no men, wanaume hatupo - tumekimbia jukumu, limetuzidi kimo; naam kazi imetushinda!
nature abhors vacuum - asili huchukia ombwe - la nature a horreur de vide
Wameamua tu kupima wenyewe kwa wenyewe watapata radha zgani. Na sio kukosekana kwa wanaume. Ndio maana wanasababu nyingi za kusagana ilihali hizo sababu hazina msigni kimantiki
Hata kama wanaume wangekua hawapo, do you really think that just one generation would swich from hetero to lesbians? Nadhani wnaonekana kua wengi zaidi sababu mtazamo wa jamii unawaruhusu kuonekana, but they have always been there.
Mkuu hivi hii ni fasheni au nini? Binti wa Kiafrika. Mrembo. Ana kila kitu. Sasa inakuwaje? Wanaume tumeshindwa kazi?
Nimeshafafanua sana, hatupo kikazi - tupo likizo ya kiaina (AWOL) hivyo wafanyakazi mbadala wamechukua nafasi yetu!
ngoja nisaidie kuna
1) some girls like other girls! this has nothing to do with men, our availability or anything, it's just the way they are. they do not have romantic or s.e.x.ual desires for men.
2) some girls experiment in school. however they are straight as once they meet a nice guy they will hook with him, they lesbianism is a phase/experiment that goes away in time..