Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,050
wanadai eti sisi waswahili waongo.Mkuu hivi hii ni fasheni au nini? Binti wa Kiafrika. Mrembo. Ana kila kitu. Sasa inakuwaje? Wanaume tumeshindwa kazi?
Ila experience inaonyesha kuwa wengi wakishaolewa na watasha baadae wanatafuta kabongo kaserengeti maana wanadai wazungu 6x6 ni dhaifu!