Wanaume Wako Wapi?

Vipi na wanaume ambao ni gays? Ina maana wanawake nao hawapo kikazi - wapo likizo ya kiaina (AWOL) hivyo wafanyakazi mbadala wamechukua nafasi yao? Kama wanaume walaumiwe kwa wanawake kuwa wasagaji, basi si wanawake walaumiwe kwa wanaume kuwa mashoga?

Halafu kwenye usagaji kuna watu wawili: masagaji na msagwaji? Wanaume walaumiwe kwa mwanamke kuamua kuwa msagaji, msagwaji or both?

you are being too philosophical, unasahau kuwa wanaume kuwa mashoga nayo ni sehemu ya wanaume kuwa AWOL.
 
you are being too philosophical, unasahau kuwa wanaume kuwa mashoga nayo ni sehemu ya wanaume kuwa AWOL.

Tumekuwa conditioned kuamini kuwa heterosexual relationship ni kitu ambacho ni normal simply because it is more commonly seen. But what we need to think about is whether the less common things in life can be dismissed off as abnormal?

Kwa nini wapo watu ambao huwa na hasira sana? Kwa nini watu wengine wana aibu sana? Why are some people agitated all the time? Kwa nini watu wengine ni mashoga? The answer to any question dealing with human behaviour is a complex one, a combination of nature and nurture. Looking for a simple answer is fultile.

May be you should have gone a bit deeper na kumwuliza kama yeye ni msagaji au msagwaji na ni kitu gani kimemfanya mpaka akaamua kuwa hivyo.
 
Tumekuwa conditioned kuamini kuwa heterosexual relationship ni kitu ambacho ni normal simply because it is more commonly seen. But what we need to think about is whether the less common things in life can be dismissed off as abnormal?

Kwa nini wapo watu ambao huwa na hasira sana? Kwa nini watu wengine wana aibu sana? Why are some people agitated all the time? Kwa nini watu wengine ni mashoga? The answer to any question dealing with human behaviour is a complex one, a combination of nature and nurture. Looking for a simple answer is fultile.

May be you should have gone a bit deeper na kumwuliza kama yeye ni msagaji au msagwaji na ni kitu gani kimemfanya mpaka akaamua kuwa hivyo.

falsafa za anti-heterenormativity hizo, nakuambia walikuwa na wanaume wakaona wanaume wao ni awol
 
falsafa za anti-heterenormativity hizo, nakuambia walikuwa na wanaume wakaona wanaume wao ni awol

Walikuambia sababu ya kuwa msagaji/msagwaji ni kwa sababu waume wao walikuwa awol?
Can heterosexual person truly know what a gay person's experience of his/her sexuality is?
Can we really know what determines a person's sexuality?
Nikisema wapo wanawake wanaosema ni wasagi ili kuepuka kutongozwa ovyo utakubali?
 
Walikuambia sababu ya kuwa msagaji/msagwaji ni kwa sababu waume wao walikuwa awol?
Can heterosexual person truly know what a gay person's experience of his/her sexuality is?
Can we really know what determines a person's sexuality?
Nikisema wapo wanawake wanaosema ni wasagi ili kuepuka kutongozwa ovyo utakubali?

hawa wadada/wamama hawakuzaliwa wasagaji, mmoja aliolewa kabisa na kuzaa watoto wawili - mwingine alikuwa na boifurendi ila akamwona ni mchovu, tiba mbadala ikawafaa
 
Vipi na wanaume ambao ni gays? Ina maana wanawake nao hawapo kikazi - wapo likizo ya kiaina (AWOL) hivyo wafanyakazi mbadala wamechukua nafasi yao? Kama wanaume walaumiwe kwa wanawake kuwa wasagaji, basi si wanawake walaumiwe kwa wanaume kuwa mashoga?Halafu kwenye usagaji kuna watu wawili: masagaji na msagwaji? Wanaume walaumiwe kwa mwanamke kuamua kuwa msagaji, msagwaji or both?

don't s.e.x.ualize it, what happens in the bedroom shouldn't matter. Imagine kama watu harusini wangekuwa wanasema bwana harusi amepata mtu wa kumt****** au hongera bibi harusi nenda ukat***** vizuri na mumeo, hatusemi hivi maana ni faragha. kujibu swali lako, hamna wa kulaumiwa maana lesbian havutiwi na mwanaume, hata akiwa na mwanaume 'fundi' hawatadumu na sio kosa lake (mwanaume)

umejitahidi ila nakuambia hapa kuna mama wa watoto wawili kaachika baada ya ndoa ngumu na mumuwe sasa yuko na mwanamke mwenzake na wanazimikiana kichizi wala hakumbuki hitaji la mwanaume, enhe anafiti namba 1 au 2?
omg! naweza kusema ilikuwa ndoa ya kujilazimisha ili kuepuka maneno ya watu. ni vigumu dada kuswitch kutoka kutamani mwanaume na kutamani mwanamke mwenzie, nadhani alikuwa na hisia kwa mwanamke tokea mwanzo, akajaribu ndoa kuona kama atabadilika, akashindwa, sasa amefuata moyo wake. kama karidhika na huyo dada mwingine then huo ndio ukweli... Angekuwa straight basi angejitafuta mwanaume mwingine atakemtunza na kumjali na sio mdada.
 
Boss, kuwa makini sana kwa hili...tusijifanye tumeziba masikio yetu dhidi ya sauti ya Mungu aliye mkuu na muumbaji wa vyote, kwa kuifisadi miili yetu...hata kama sio wasomaji wa vitabu vitakatifu, hebu tujaribu kusoma hapa. WARUMI SURA YA KWANZA, MSTARI WA 26 hadi ule wa 32.

Naomba nisinukuu chochote, ila naomba ukajisomee mwenyewe...Kwa habari ya wanaume waliowakiana tamaa(Homosexual) na kutenda yasiyo sawa mbele za Mungu,na wanawake wasaganaji (Lesbians).

Inatisha sana, kumbe pia adhabu yao ilishawatangulia..yaani hawa jamaa tayari wameshahukumiwa.

Jamani naomba tusome hapo.
 
Mzeelapa, : Usagaji/Usagwaji (Lesbianism)
Pia Ulawiti/Ulawitiwa (Sodomism) Vyote hivi haviruhusiwi na dini yeyote..Chukua Biblia yako, soma Warumi: sura ya kwanza, mstari wa 26 hadi ule wa 32..naomba ukasome mwenyewe kwa muda wako hapa hakuna kulaumiana kwani wote wafanyao hayo wamekwishahukumiwa (hukumu yao imewatangulia)...naomba omba biblia hata kwa jirani usome, mimi nikinukuu hapa unaweza usiamini.
 
Nimeuelewa vizuri uzi huu......

Naomba ifahamike kwamba mwanamke kwenda kwa mwanamke mwenzake hafuati ngono tu huko, kuna kitu anachokifuata ambacho wanaume wengi wanashindwa kuwapatia. This is not abt money, honest or gentlerism, we kaa tu na uanamume wako na pesa zako ila wanasepa tu......

Kuna vitu huko wanavyofanyiana ambavyo ni vigumu kuvipata toka kwa wanaume, umeshawahi kuona msichana aliyeingia kwenye ulesbia akatoka huko? Jibu Hapana, WHY is that?????

Let start change from us, ndipo baadae tujiulize inakuwaje wanawake wanaenda kwa wanawake wenzao ambao hata uume hawana.

HALI HALISI:
Wengi ya wanaume wanazani mapenzi ni kusex tu, ngali hata huko kusex kwenyewe hawajui, mapenzi ni kila kitu kinachokuzunguka wewe na mpenzi wako.

Wanajamii naomba niishie hapa.
 
Nimeuelewa vizuri uzi huu......

Naomba ifahamike kwamba mwanamke kwenda kwa mwanamke mwenzake hafuati ngono tu huko, kuna kitu anachokifuata ambacho wanaume wengi wanashindwa kuwapatia. This is not abt money, honest or gentlerism, we kaa tu na uanamume wako na pesa zako ila wanasepa tu......

Kuna vitu huko wanavyofanyiana ambavyo ni vigumu kuvipata toka kwa wanaume, umeshawahi kuona msichana aliyeingia kwenye ulesbia akatoka huko? Jibu Hapana, WHY is that?????

Let start change from us, ndipo baadae tujiulize inakuwaje wanawake wanaenda kwa wanawake wenzao ambao hata uume hawana.

HALI HALISI:
Wengi ya wanaume wanazani mapenzi ni kusex tu, ngali hata huko kusex kwenyewe hawajui, mapenzi ni kila kitu kinachokuzunguka wewe na mpenzi wako.

Wanajamii naomba niishie hapa.
Aisee hili suala unalielewa kwa undani sana, wengine wanabisha tu na kuleta siasa bila kuzingatia hali halisi
 
omg! naweza kusema ilikuwa ndoa ya kujilazimisha ili kuepuka maneno ya watu. ni vigumu dada kuswitch kutoka kutamani mwanaume na kutamani mwanamke mwenzie, nadhani alikuwa na hisia kwa mwanamke tokea mwanzo, akajaribu ndoa kuona kama atabadilika, akashindwa, sasa amefuata moyo wake. kama karidhika na huyo dada mwingine then huo ndio ukweli... Angekuwa straight basi angejitafuta mwanaume mwingine atakemtunza na kumjali na sio mdada.

Unabahatisha
 
Unabahatisha
my mistake, i do that to avoid giving hints about myself

ilikuwa ndoa ya kujilazimisha ili kuepuka maneno ya watu. haiwezekani dada kuswitch kutoka kutamani mwanaume na kutamani mwanamke mwenzie, alikuwa na hisia kwa mwanamke tokea mwanzo, akajaribu ndoa kuona kama atabadilika, akashindwa, sasa amefuata moyo wake. Mwanamke straight angejitafuta mwanaume mwingine atakemtunza na kumjali na sio mdada.


i fixed it now
 
Kuna mhubiri mmoja alihuburi Where are all the Men? sasa naanza kumuelewa, tatizo ni sisi wanaume - hatupo, tumeshindwa kazi, hivyo wanawake wanatafuta mbadala miongoni mwao wenyewe!

poor you!
how?
people are nowdays free to do anything they wany/wish/like as long as they don't disobey/break the laws/rules.
1. what about those gays?
2. are u aware of the homosexual/single sex marriage? its coming in africa, surely am telling u
3. u were (with ur pastor) required to do a research as to how come people(however few they are) prefer single sex than heterosexual?
just thinking
 
Wanaume tupo tena wengi kweli...ila sasa kina dada wa kileo mara wataka vogue mara wataka nyumba ya ghorofa, mara wataka kula sea clifff,....wanaume lijari sisi tumo kwenye kazi za mikono kwa kusimamia miguu yetu. Twasukuma vitu vizito tuko ngangari...tukiwapata wenzutu twahamia huko mbali kabisa tukizaa na kuzaliana.
 
Sijui kama ni tatizo la perfomance kwa upande wa wanaume imeshuka
ama kuiga life style za kigeni..
sijui tatizo ni nini hasa..

Wanaume wengi huku uswahilini performance yetu iko juu, na ushahidi ni Diamond anavyotuwakilisha vizuri. tatizo kina dada wanawapenda watoto wa geti kali masaki na huko uzunguni. Wanashindia barger...performance ya burger itatoka wapi...waliogundua burger wakaenda mbali zaidi kugundua viagra.
 
Back
Top Bottom