nemic4u
JF-Expert Member
- Apr 4, 2011
- 442
- 299
Katika miaka michache niliyoishi hapa duniani nimejifunza kuwa ukweli haufichiki kwahiyo huwezi kuwa na amani. Dhamira yako lazima ikusute tuu.
Nikweli kabisa lazima dhamira itakusuta lakini itabidi uvumilie tu mana mtoto unataka na mume pia hutaki kumpoteza!