Hahahahahaaa umenichekesha kweli kaka. Watu wanaichezea ego ya mwanaume wa Kiafrika.
Mfumo dume bado unatawala sana katika jamii zetu za Kiafrika.
Naona unasisitiza sana kua you knew her husband. so what would have been the situation if you didn't know him?
inawezekana aisee
sasa hapo utaona 'desperate situations'
zinavyowabadili watu
usikute aliwahi kusema huko mwanzo mkewe akitoka nje tu ni talaka
lakini tatizo linamfanya hadi mtu ashiriki kumsaidia mkewe 'kutoka nje;..
What if they decide together to do it? people can be desperate sometimes, they do unexpected things. Mbele yenu wanajifanya hawajui kua sio wao but if you could notice that, he could notice it too...
nilikuwa sijui pia kama huyo dada ana shida ya mtoto
sijui ingekuwaje
but siko tayari damu yangu kuigawa sadaka....
Hayo wanayasema watoto...Watu wazima ambao wameshapambana na mawimbi ya bahari huwa wanakuwa wapole na kukaa kimya kama vile hawajui kitu!!!
You din't get my question, but nimepata hints from DC hapa chini.nilikuwa sijui pia kama huyo dada ana shida ya mtoto
sijui ingekuwaje
but siko tayari damu yangu kuigawa sadaka....
Duuuu....Hapo inabidi mtu aombe msaada wa kisheria kabla ya kujibu!!
(Siku hizi unaelekea kujifunza uchokozi RR...au na wewe umeanza kusoma btn lines???)
Babu DC!!
sasa hapa najiuliza kipi kigumu zaidi
kwenda hospitali kushirikisha wataalamu na shida yako
au kumruhusu wife atoke nje?????
Do you mean this?Mbona nimeshakueleza huko nyuma...Kwa mila zetu sie, mke wangu hatatoka nje bali atapata huduma kutoka kwa shemeji zake!!!
Kwani kuna ubaya gani hapo??
Babu DC!!
sasa hapa najiuliza kipi kigumu zaidi
kwenda hospitali kushirikisha wataalamu na shida yako
au kumruhusu wife atoke nje?????
Hivi Tanzania kuna sperm bank?
Mbona nimeshakueleza huko nyuma...Kwa mila zetu sie, mke wangu hatatoka nje bali atapata huduma kutoka kwa shemeji zake!!!
Kwani kuna ubaya gani hapo??
Babu DC!!
Za kazi gani wakati hakuna mwanamume mgumba hata mmoja??
Babu DC!!!
Do you mean this?
Kweli lakini....
ha ha haa lol.....