Kindness_cu
Member
- Dec 29, 2022
- 96
- 151
- Thread starter
-
- #161
Atukatai lakini kuweni wakweli kama mnapita au vipi sio unapita alfu unamuaminisha mtu upo sanaa unamalengo hapo ndo tunapoumizana aiseee ukweli unauma lakini ndo mzuri kuliko uongo mtamu bora ukweli mchungu mm napenda mtu open then u choose u go with it au vipiKwa mfano sisi wanaume huwa haturidhiki na mwanamke mmoja tusiwadanganye dada zetu
Unaweza ukawa mke wangu au demu wangu na nakuhudumia vizuri lakini lazima nichepuke. Sisi ni watu wa tamaa mwanamke akinivutia nitataka nimgegede
Habari njema ni kwamba sisi wanaume hata tuchepuke upendo wetu unabaki palepale kwa yule tuliyempenda kikweli
Si unajua shemu lazima wakati tukumbushaneShem mbona unatuchamba
Hahahaha [emoji1787] upo Dunia ya ngapi Hilo neno halina ukali ukizoea utaona la kawaida zidi kushinda JF.Punguza ukali wa maneno
Sawa bhnaSi unajua shemu lazima wakati tukumbushane
Sikuwezi kwa kheriHahahaha [emoji1787] upo Dunia ya ngapi Hilo neno halina ukali ukizoea utaona la kawaida zidi kushinda JF.
Sasa tukisema ukweli hatutapata mbususu lazima uwongo utumike.Atukatai lakini kuweni wakweli kama mnapita au vipi sio unapita alfu unamuaminisha mtu upo sanaa unamalengo hapo ndo tunapoumizana aiseee ukweli unauma lakini ndo mzuri kuliko uongo mtamu bora ukweli mchungu mm napenda mtu open then u choose u go with it au vipi
Kwahiyo nikikuambia napita utanikaribisha tu[emoji23]Atukatai lakini kuweni wakweli kama mnapita au vipi sio unapita alfu unamuaminisha mtu upo sanaa unamalengo hapo ndo tunapoumizana aiseee ukweli unauma lakini ndo mzuri kuliko uongo mtamu bora ukweli mchungu mm napenda mtu open then u choose u go with it au vipi
Pole Sana ndiyo Mapenzi yalivyo yatapitaHellow lovers,
Wanaume wabaya sana sana vuta picha mtu unampenda sana unaenda kumtembelea una mkuta na mwanamke amevaa khanga yako na tishet yako ambayo ulimpelekea mpenzi kama zawadi.
Wanawake wengi hapa ndio udhaifu wenu ulipo hasa mnaotaka kuolewa huwa mnadanganyika kiurahisi sanaAtukatai lakini kuweni wakweli kama mnapita au vipi sio unapita alfu unamuaminisha mtu upo sanaa unamalengo hapo ndo tunapoumizana aiseee ukweli unauma lakini ndo mzuri kuliko uongo mtamu bora ukweli mchungu mm napenda mtu open then u choose u go with it au vipi
Hivi Hadi mwenzio anakukuta ni kukosa adabuKwa mfano sisi wanaume huwa haturidhiki na mwanamke mmoja tusiwadanganye dada zetu
Unaweza ukawa mke wangu au demu wangu na nakuhudumia vizuri lakini lazima nichepuke. Sisi ni watu wa tamaa mwanamke akinivutia nitataka nimgegede
Habari njema ni kwamba sisi wanaume hata tuchepuke upendo wetu unabaki palepale kwa yule tuliyempenda kikweli
Jisemee pekee yako kuwa hauna huruma ila usiseme wanaume sote in general..... uwa mnaanza kuacha vinguo kimoja kimoja mjengoni kabla ya maridhiano kuwa ww ndio Mama mjengo....ss hayo ndio malipo yake.Kakwambia kwa vitendo....btw pole sana....kweli Wanaume huruma hatuna
😀Unataka kuzijuaHao wanaume wanaume gani wako na Tabia chafu za ziada amabazo hy mdada hajui.
Kwa mtu kama mimi nimejua umenisaliti ni kupiga chini. Sijajua mrembo Kindness_cu kachukua maamuzi gani?Hivi Hadi mwenzio anakukuta ni kukosa adabu
Upendo utabaki kwako lkn Kwa unaenipenda unakuwa umeshauvunja upendo huo
😀Unataka kuzijuaHao wanaume wanaume gani wako na Tabia chafu za ziada amabazo hy mdada hajui.
Nimejiendea mwaya breakKwa mtu kama mimi nimejua umenisaliti ni kupiga chini. Sijajua mrembo Kindness_cu kachukua maamuzi gani
Aisee sio sababu na sio Kila mwanamke anapenda hivo na wanaume wengi hawajatulia ilo halina ubishi sema tu mnaziidianaMapenzi yatawatesa sana kwa sababu mko kuangalia maisha ya mwanamume je, anajiweza?
Na sisi wanaume tukiwa na vihela huwa hatuachi mbususu na tutakuigizia tunakupenda na vizinga utanipiga ila kuna mmoja ambaye tunakuwa tunamwelewa wa kufanya naye maisha
Sasa inategemea wewe uko wapi kati ya hao wawili
Ziweke wazi... Ukificha ujue kunguni😀Unataka kuzijua
Unaendaje kwa watu bila taarifa? Tusijimilikishe hao watu until uko na vipete viwili.Hellow lovers,
Wanaume wabaya sana sana vuta picha mtu unampenda sana unaenda kumtembelea una mkuta na mwanamke amevaa khanga yako na tishet yako ambayo ulimpelekea mpenzi kama zawadi.