Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii kitu si kwa mabaunsa wa klub tu hata kwa WANACHUO WATEGEMEA BOOM wanapenda sana kutafuta mijimama chuoni yenye hela zao ili wawe wanawapa mpunga yaani kuwatoa,Wenyewe wanachuo wanaita KUSAFIRIA NYOTA
Nyie mwa shangaa v2 vdogo hvyo wakat mwanaume ukiwa fit katka majamboz lazma mijimama yenye mihela ikuchukue na ukiirizisha lazma kila cku akupe mpunga wa maana hapo una win kmaisha aisee kwa vle mabwana zao hawawarizsh kabisa datz why wanafanya hv.
Mungu anashida kweli yani
hata hili ni lake jamani. manake nashindwa kudadavua, kuna wanaopenda
majimama na kuna wanaopenda wababa wenzao sasa kazi kweli. lakin wenzetu
kaka zetu mbona sisi wa umri wenu tupo?na tunawapenda?
Source plz
Hakuna uhusiano wowote ule,ni tabia ya mtu tu.
Ni kama kusivo kuwa na uhusiano kati ya kuvaa vimini na kujiuza.
Sio club tu, hata maofisini vijana wadogo wanajilengesha kwa wamama na wake za watu. Msisingizie mabaunsa wa watu.
uchunguzi wa muda mrefu wa suala hili ulibaini kuwa katika klabu,
kasino na sehemu nyingi za starehe jijini dar es salaam,
kuna idadi kubwa ya wanaume wanaojiuza kwa mijimama ya mjini yenye mihela yao.
Issue ipo hivi:
Uchunguzi ulibaini kuwa vijana wanaojihusisha na biashara hiyo ni wale walio
fiti kwa mazoezi ya gym au wababeba vitu vizito wanaosifika kwa kutunisha vifua a.k.a mabaunsa.
Usishangae kwamba:
Kuna madai kuwa, baadhi ya wanawake wanaowachukua vijana hao ni wake wa vigogo (wanasiasa)
na watumishi wa serikalini ambao ndoa zao hazijatulia.
Kama wadada wakijiuza wanaitwa makahaba,......wanaume wanao jiuza kwa style hii tuwaiteje?
Duh,kwa hiyo hii ni kitu ya zamani sana eh?
Basi sio mbaya,"haki sawa" naona imeanza zamani ila
ilikua haionekani