Wanaume wa Tanzania ni legelege

Smile

JF-Expert Member
Jul 18, 2011
15,347
11,610
wanawake wa tanzania huku tukiendelea na maadhimisho yetu
tukumbuke kuwa tupo na wanaume legelege kabisa.kwa iyo maisha yetu na ukombozi wa maisha yetu yapo mikononi mwetu wenyewe.hawa wenzetu tulio nao hawana nguvu yeyote ni mgonjwa tu aliyewekewa dripu na oxygen
hebu angalia-
1-watu wanakosa huduma muhimu ya afya ,wanakufa bila hatia eti madaktari wamegoma -chanzo mwanaume wa kitanzania
2-maisha magumu magumu-chanzo mwanaume wa kitanzania
3-vitu feki nchini eti tbs wana hadi ofisi korea-chanzo?
4-wizi epa radar -chanzo ?
5-soka kila siku tunafungwa hata na timu ya somalia-hao ni wanaume wa....?
6- endeleeni



yaani hamna siku wanatupa raha humu nchini hamna
tuungane wamama tuokoe taifa letu
426085_243455712413781_100002480636332_499625_1013436013_n.jpg
 
Nakubaliana nawe, ila sii wote. Wewe sema wanaume wote wa MAGAMBA ni legelege full stop. I trust that I am so hard since I am not one of them Smile. Hata akina mama wa wanaume legelege ni legelege tuuu otherwise msingekubali kurubuniwa na vikanga vyea elfu na jero na pilau kuwapa hao malegele kura zinazopelekea kutumaliza hivi hivi.
 
Happy Women's Day....Kesho!

Tuitumie siku hii kutafakari masuala muhimu ambayo wanawake tunaweza kuyafanya kwa manufaa ya Taifa letu na Dunia,ambayo kwa miaka iliyopita tulitegemea wanaume wafanye. Hatuna sababu ya kutegemea wanaume kwenye kila kitu,ila kuna sababu ya kushirikiana nao katika yale tuyafanyayo kwa kuwa kwa namna moja au nyingine wao ni sehemu ya maisha yetu. Tujifunze kwenye mapungufu yao na tufanye mambo ya tofauti,iwe kisiasa,kiuchumi,kijamii etc. Tunaweza,Dunia Yetu,Chaguo Letu.....Tuchague kufanya kazi kwa bidii na kwa ubora wa hali ya juu!! :poa
 
Mwanaume legelege amezaliwa na wazazi legelege (nachelea kusema mama legelege), kwa hiyo kama wazazi ni legelege tegemea watoto wa kike na kiume legelege katika maeneo yote: uongozi, maadili nk.
 
wanawake wa tanzania huku tukiendelea na maadhimisho yetu
tukumbuke kuwa tupo na wanaume legelege kabisa.kwa iyo maisha yetu na ukombozi wa maisha yetu yapo mikononi mwetu wenyewe.hawa wenzetu tulio nao hawana nguvu yeyote ni mgonjwa tu aliyewekewa dripu na oxygen
hebu angalia-
1-watu wanakosa huduma muhimu ya afya ,wanakufa bila hatia eti madaktari wamegoma -chanzo mwanaume wa kitanzania
2-maisha magumu magumu-chanzo mwanaume wa kitanzania
3-vitu feki nchini eti tbs wana hadi ofisi korea-chanzo?
4-wizi epa radar -chanzo ?
5-soka kila siku tunafungwa hata na timu ya somalia-hao ni wanaume wa....?
6- endeleeni



yaani hamna siku wanatupa raha humu nchini hamna
tuungane wamama tuokoe taifa letu
426085_243455712413781_100002480636332_499625_1013436013_n.jpg



Siku moja moja sio mbaya kuangalia issues differently....but you need us more than you thought
 
Hivi wanaume wa Tanzania wakiwa legelege, wanaume wa Kenya tuwaiteje?
 
wanawake wa tanzania huku tukiendelea na maadhimisho yetu
tukumbuke kuwa tupo na wanaume legelege kabisa.kwa iyo maisha yetu na ukombozi wa maisha yetu yapo mikononi mwetu wenyewe.hawa wenzetu tulio nao hawana nguvu yeyote ni mgonjwa tu aliyewekewa dripu na oxygen
hebu angalia-
1-watu wanakosa huduma muhimu ya afya ,wanakufa bila hatia eti madaktari wamegoma -chanzo mwanaume wa kitanzania
2-maisha magumu magumu-chanzo mwanaume wa kitanzania
3-vitu feki nchini eti tbs wana hadi ofisi korea-chanzo?
4-wizi epa radar -chanzo ?
5-soka kila siku tunafungwa hata na timu ya somalia-hao ni wanaume wa....?
6- endeleeni



yaani hamna siku wanatupa raha humu nchini hamna
tuungane wamama tuokoe taifa letu
426085_243455712413781_100002480636332_499625_1013436013_n.jpg



natumai hujaamka na hangover, tafakuri kwa kina kisha urudi tena na ututake radhi!!!

legelege ni ninyi mnaowapa watu uongozi simply ni handsome :A S 465:
 
Nakubaliana nawe, ila sii wote. Wewe sema wanaume wote wa MAGAMBA ni legelege full stop. I trust that I am so hard since I am not one of them Smile. Hata akina mama wa wanaume legelege ni legelege tuuu otherwise msingekubali kurubuniwa na vikanga vyea elfu na jero na pilau kuwapa hao malegele kura zinazopelekea kutumaliza hivi hivi.
na nyie mngekuwa na akili msingewapeleka kwenye majukwaa na kuwaweka kwenye karatasi la kupigia kura
 
Happy Women's Day....Kesho!

Tuitumie siku hii kutafakari masuala muhimu ambayo wanawake tunaweza kuyafanya kwa manufaa ya Taifa letu na Dunia,ambayo kwa miaka iliyopita tulitegemea wanaume wafanye. Hatuna sababu ya kutegemea wanaume kwenye kila kitu,ila kuna sababu ya kushirikiana nao katika yale tuyafanyayo kwa kuwa kwa namna moja au nyingine wao ni sehemu ya maisha yetu. Tujifunze kwenye mapungufu yao na tufanye mambo ya tofauti,iwe kisiasa,kiuchumi,kijamii etc. Tunaweza,Dunia Yetu,Chaguo Letu.....Tuchague kufanya kazi kwa bidii na kwa ubora wa hali ya juu!! :poa
Kweli dada wanaumegani hawa wanatufanya tuishi kama tupojehanamu.
Kila siku shida shida. Huduma ya afya tu inawashinda,ni nini sasa wanaweza kutuoffer kamaunatembea na roho yako mkononi?.kwanza nahama nchi mie
 
Mwanaume legelege amezaliwa na wazazi legelege (nachelea kusema mama legelege), kwa hiyo kama wazazi ni legelege tegemea watoto wa kike na kiume legelege katika maeneo yote: uongozi, maadili nk.
hatuzai tena na nyie.ngoja nitafute mchina
 
wanawake wa tanzania huku tukiendelea na maadhimisho yetu
tukumbuke kuwa tupo na wanaume legelege kabisa.kwa iyo maisha yetu na ukombozi wa maisha yetu yapo mikononi mwetu wenyewe.hawa wenzetu tulio nao hawana nguvu yeyote ni mgonjwa tu aliyewekewa dripu na oxygen
hebu angalia-
1-watu wanakosa huduma muhimu ya afya ,wanakufa bila hatia eti madaktari wamegoma -chanzo mwanaume wa kitanzania
2-maisha magumu magumu-chanzo mwanaume wa kitanzania
3-vitu feki nchini eti tbs wana hadi ofisi korea-chanzo?
4-wizi epa radar -chanzo ?
5-soka kila siku tunafungwa hata na timu ya somalia-hao ni wanaume wa....?
6- endeleeni



yaani hamna siku wanatupa raha humu nchini hamna
tuungane wamama tuokoe taifa letu
426085_243455712413781_100002480636332_499625_1013436013_n.jpg

Huyu mwenye ushungi/nicab sijui ni mwali au Ashadii??
Anyway umesahau point moja muhimu hapo Bunge linaongozwa na mwanamke ambaye anatoa kauli ambazo unaweza kudhania ameshituka kutoka usingizini.
Pia kumbuka mkipewa kofia na t-shirt za njano na khanga za kijani basi nyie roho kwatu kabisa.
 
Tatizo huyo mwanaume aliyewatia umasikini amemuoa Delila.

Kwenye kila anguko la mwanaume, kuna mwanamke mbele yake. Believe me you.
A clever wife often sleeps with a stupid husband
 
Kweli dada wanaumegani hawa wanatufanya tuishi kama tupojehanamu.
Kila siku shida shida. Huduma ya afya tu inawashinda,ni nini sasa wanaweza kutuoffer kamaunatembea na roho yako mkononi?.kwanza nahama nchi mie

Wapo wanawake tunaofanya wanaume waishi kama wapo jehanamu.....kwenye haya maisha, ni kuwa na boundaries ya kile unachoweza kupokea kutoka kwa binadamu mwenzio na kile usichoweza.....wanaume si Mungu,if he does not worth your time,stay away and keep pushing forward with your life....utegemezi ndo unatufanya wengi tuone maisha jehanamu kwa sababu ya wanaume....a stupid belief that we can't do without someone or men....we can....chagua kuheshimu mipaka uliyojiwekea,kujiamini na kukubali kubadilika pale inapobidi.....Usihame nchi, wana makasoro tofauti tofauti....chagua!
 
Smile kama nitakukwaza utanisamehe dear.... Umekuja mkali mno. Maneno yako yana ukweli Lakini kua more blunt in other post apart from the original post ni rubbing it in - in a wrong way.

Ni kweli as men wanatakwa wafanye kama ulivosema hapo juu..... Ila kumbuka kua tupo ulimwengu mpya kulinganisha na zamani. Wanawake na sisi tuna nafasi ambazo inabidi tucheze tena responsively kwa maendeleo ya Taifa. Na kumbuka pia kua wale ambao wamekua previledged kutuwakilisha sio woote wanacheza nafasi zao ipasavo. Take note unapowapa wanaume absolute blame katika tatizo ndivo unavo zidi kutu paint wanawake kama wajinga zaidi kwa kukubali kufanyiwa ***** huo...
 
Back
Top Bottom