Mwazani
Member
- May 27, 2010
- 75
- 11
Ni aibu nchi inaporomoka lakini wanaume wa nchi hii mpo tu mnalalamika kila kukicha bila kuchukua hatua.
Ni aibu viongozi wa nchi hii wanachuma mali na kujilimbikizia huku idadi kubwa ya watu ni masikini wa kutupwa lakini wanaume wa nchi hii mpo mpo tu.
Wananchi wengi wa Nchi hii tuna hali ngumu.
Rushwa imetawala katika nchi hii.
Maji ya uhakika hatupati, Umeme ndio kitendawili, huduma za afya ni mpaka utoe rushwa vinginevyo utakufa hivi unajiona lakini wanaume mwakaa kimya tu hamchukui hatua yeyote.
Mmekosa hata plan B?
Wanaume wa nchi hii Mungu amewaumba Wanaume kwa sababu maalumu.
Tuongozeni na mtukomboe katika huu Utumwa.
Shame on all Tanzanian Men.
Laiti ningeumbwa mwanaume, ningefanya kitu fulani, nisingembweteka kama mijanaume ya nchi hii.
SHAME ON YOU.
Ni aibu viongozi wa nchi hii wanachuma mali na kujilimbikizia huku idadi kubwa ya watu ni masikini wa kutupwa lakini wanaume wa nchi hii mpo mpo tu.
Wananchi wengi wa Nchi hii tuna hali ngumu.
Rushwa imetawala katika nchi hii.
Maji ya uhakika hatupati, Umeme ndio kitendawili, huduma za afya ni mpaka utoe rushwa vinginevyo utakufa hivi unajiona lakini wanaume mwakaa kimya tu hamchukui hatua yeyote.
Mmekosa hata plan B?
Wanaume wa nchi hii Mungu amewaumba Wanaume kwa sababu maalumu.
Tuongozeni na mtukomboe katika huu Utumwa.
Shame on all Tanzanian Men.
Laiti ningeumbwa mwanaume, ningefanya kitu fulani, nisingembweteka kama mijanaume ya nchi hii.
SHAME ON YOU.