Kennedy
Platinum Member
- Dec 28, 2011
- 61,605
- 74,433
NakusalimuPOVU
Mwakeye
NakusalimuPOVU
Panicking is your worst enemy!.Wagalatia 5:22-23.Pata Maarifa kidogo shehe!Go and call your parents that they are acting like fools and are silly parents for not teaching you how to use certain words and to whom
Hapo tatizo lipo wapi ndugu? Inawezekana na yeye hapendi watu kama sisi tunaojiweka kawaida, tunavaa kawaida.Mshikaji mbona yuko sawa tu?si tupo mjini tunayaona..kuna msela yeye hana hata baiskeli lakini hua kaning'iniza funguo za gari kwenye luksi ya suluari yake na anashinda na madalali wa magari,ukimuona anatembea utajua kashuka airport kutokea Mississipi America.
Let it be. Lakini lugha uliyotumua ya kuwahusisha wazazi wangu waliofariki zaidi ya miaka 30 iliyopita sikuipenda.Simply ungeniambia ninunulie watoto wangu that was alright .Usipende kuhusisha watu wasihusika kwenye mambo yasiyowahusu hii inaonyesha kuwa hukuwa na huna malezi mazuri.Tafadhali soma:WAEFESO 6:1--3 waliotajwa hapo ni pamoja na wote walikuzidi umri.Mwisho mimi siyo shehePanicking is your worst enemy!.Wagalatia 5:22-23.Pata Maarifa kidogo shehe!
May i remind you where we can from"Kuna kama ka ukwelu vile,wakati mwingine ka IST kenyewe ka wazazi".Then "Mimi nina kijana wangu yupo kwenye 26 huwa anachukua ki Vista cha wife (mama yake) kwenda nacho bar nina uzoefu ndo maana nimeandika hivyo wacha uvuvuzela wako".Its kind of awkward you have audasity of kujimwamwafai ilihali umeonyesha jinsi gani ulivyo.Naamini watu makini hawafanyi vitu makini huwa wanafanya vitu sahihi kutrash wengine kwako is ok!.Nashangaa umeishia mstari wa tatu waefeso hiyo hiyo mstari wa nne inasema hivi."Akina baba msiwachokoze watoto wenu............!Let it be. Lakini lugha uliyotumua ya kuwahusisha wazazi wangu waliofariki zaidi ya miaka 30 iliyopita sikuipenda.Simply ungeniambia ninunulie watoto wangu that was alright .Usipende kuhusisha watu wasihusika kwenye mambo yasiyowahusu hii inaonyesha kuwa hukuwa na huna malezi mazuri.Tafadhali soma:WAEFESO 6:1--3 waliotajwa hapo ni pamoja na wote walikuzidi umri.Mwisho mimi siyo shehe
May i remind you where we can from"Kuna kama ka ukwelu vile,wakati mwingine ka IST kenyewe ka wazazi".Then "Mimi nina kijana wangu yupo kwenye 26 huwa anachukua ki Vista cha wife (mama yake) kwenda nacho bar nina uzoefu ndo maana nimeandika hivyo wacha uvuvuzela wako".Its kind of awkward you have audasity of kujimwamwafai ilihali umeonyesha jinsi gani ulivyo.Naamini watu makini hawafanyi vitu makini huwa wanafanya vitu sahihi kutrash wengine kwako is ok!.Nashangaa umeishia mstari wa tatu waefeso hiyo hiyo mstari wa nne inasema hivi."Akina baba msiwachokoze watoto wenu............!
Don't be sympathetic you have been taken by the moment nimemkosea wapi?.Hujui umri wangu shehe!.Nimeamua kuenda jinsi alivonihisi since we are anonymous haya nieleze nivokosea nimwombe msamaha ili nisije nikamkosea mtu mwingine!.Utashi wako pia uko matatani unadhani ni busara kuja kumnanga na kumdhalilisha kijana wako mtandaoni.Come on!Mkuu usilazimishe watu wawe mawazo kama yako; your way is not the only way. Huyu mkuu kaelezea yeye anavyokereka na tabia ya kijana wake, wewe unaanza kumfundisha malezi.
Umemkosea halafu bado unavimba, kwa mtu mstaarabu angeomba msamaha kwa kumkwaza na kufuta comment.
Tujifunze kujali watu wengine, unaponitreat vizuri mimi unachangia kesho yangu kuwa nzuri zaidi.
Ni hayo tu mkuu.
Karibu mpenzi, nili kumiss!!Wanaume wa siku hizi ni moja ya viumbe wa hovyo sana sijapata kuona.
Wanaume wa kizazi hiki wakishavaa pensi na t-shirt zao za form six, wakimiliki simu mbili kubwa na funguo za IST basi anajiona maisha yote kamaliza, mbwembwe kibao kwenye mabar wakibugia serengeti lite, akili kichwani zero vitambi kama mimba za panya hakuna jambo lolote wanaloweza kuwaza nje ya box.
Badilikeni wanaume kumiliki vitakataka hivyo usijione wewe ndio konki basi kutwa kutongoza na kukumbatia wahudumu wa bar.
Nimerudi hizo ndio salamu zangu.
Don't be sympathetic you have been taken by the moment nimemkosea wapi?.Hujui umri wangu shehe!.Nimeamua kuenda jinsi alivonihisi since we are anonymous haya nieleze nivokosea nimwombe msamaha ili nisije nikamkosea mtu mwingine!.Utashi wako pia uko matatani unadhani ni busara kuja kumnanga na kumdhalilisha kijana wako mtandaoni.Come on!
Uliijibu comment yangu ya kwanza kama ifutavyo "Wivu hakuna cha ukweli wowote kawambie wazazi wako wakanunue" kuna mahali popote kwenye comment yangu nilipo ku provoke hadi uniambie nikawaambie wazazi wangu ambao ni marehemu wakanunue? Comment ya pili niliandika baada ya wewe kuwahusisha marehemu wazazi wangu ambao hawahusiki kwa lolote,halafu naona bado una justify kuwahusisha .Halafu sijui kwa nini unayashupalia sana mawazo yangu niliyotoa kwenye hii post mpaka inafika hatua ya kunitolea maneno ya kashfaMay i remind you where we can from"Kuna kama ka ukwelu vile,wakati mwingine ka IST kenyewe ka wazazi".Then "Mimi nina kijana wangu yupo kwenye 26 huwa anachukua ki Vista cha wife (mama yake) kwenda nacho bar nina uzoefu ndo maana nimeandika hivyo wacha uvuvuzela wako".Its kind of awkward you have audasity of kujimwamwafai ilihali umeonyesha jinsi gani ulivyo.Naamini watu makini hawafanyi vitu makini huwa wanafanya vitu sahihi kutrash wengine kwako is ok!.Nashangaa umeishia mstari wa tatu waefeso hiyo hiyo mstari wa nne inasema hivi."Akina baba msiwachokoze watoto wenu............!
Wanaume wa siku hizi ni moja ya viumbe wa hovyo sana sijapata kuona.
Wanaume wa kizazi hiki wakishavaa pensi na t-shirt zao za form six, wakimiliki simu mbili kubwa na funguo za IST basi anajiona maisha yote kamaliza, mbwembwe kibao kwenye mabar wakibugia serengeti lite, akili kichwani zero vitambi kama mimba za panya hakuna jambo lolote wanaloweza kuwaza nje ya box.
Badilikeni wanaume kumiliki vitakataka hivyo usijione wewe ndio konki basi kutwa kutongoza na kukumbatia wahudumu wa bar.
Nimerudi hizo ndio salamu zangu.
Ki ukweli. I'm not going to apologize! .I did nothing wrong!.Sijawatukana wala kuwakashifu wazazi wako ni maoni yangu tu .Nashangaa why you felt offended ni vigumu mimi kujua kama wazazi wako wamefariki au la!You are anonymous for Gods sake! "Kuna kama ka ukwelu vile,wakati mwingine ka IST kenyewe ka wazazi!.Majibu yangu yalitokana na dharau za ujivuni ulizoonyesha hapa!.Gabbage in Gabbage out!.Hata hivyo umewadhalilisha wazazi wangu kwa kuwagaragaza kwamba malezi yao si mazuri ilihali mmoja ni marehemu but it was a never big deal kwa sababu ni maoni yako hayareflect uhalisia zingatia hunijui na wala hujui nina umri gani wala hujui tabia zangu. Sir have a nice day and all the best!Uliijibu comment yangu ya kwanza kama ifutavyo "Wivu hakuna cha ukweli wowote kawambie wazazi wako wakanunue" kuna mahali popote kwenye comment yangu nilipo ku provoke hadi uniambie nikawaambie wazazi wangu ambao ni marehemu wakanunue? Comment ya pili niliandika baada ya wewe kuwahusisha marehemu wazazi wangu ambao hawahusiki kwa lolote,halafu naona bado una justify kuwahusisha .Halafu sijui kwa nini unayashupalia sana mawazo yangu niliyotoa kwenye hii post mpaka inafika hatua ya kunitolea maneno ya kashfa
Mkuu yule ana GARIHuu ujumbe haumusu kabisa Kiduku Lilo