Wanaume wa miaka hii ni hasara tupu

Wanaume wa miaka hii ni hasara tupu

Ana


Hata sijimwambafai mkuu, hapo nimesema tu kaukweli fulani hivi hahaha
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Haya bwana!

Mie nakutania tuu, usijali! Hope uko poa mkuu!
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Haya bwana!

Mie nakutania tuu, usijali! Hope uko poa mkuu!


Mimi sijambo hofu kwako uliye kusikojulikana
 
Wanaume wa sikuhizi sio wa Ovyo. Sema unakutana na wanaume wa ovyo.
Tukienda Bar hatufuati wahudumu wala hatutongozi.

Ni Beere tu, then Home kulala
 
Kila mtu na staili yake ya maisha muhimu tupate furaha bila kubuguzi wengine.
 
Wanaume wa siku hizi ni moja ya viumbe wa hovyo sana sijapata kuona.

Wanaume wa kizazi hiki wakishavaa pensi na t-shirt zao za form six, wakimiliki simu mbili kubwa na funguo za IST basi anajiona maisha yote kamaliza, mbwembwe kibao kwenye mabar wakibugia serengeti lite, akili kichwani zero vitambi kama mimba za panya hakuna jambo lolote wanaloweza kuwaza nje ya box.

Badilikeni wanaume kumiliki vitakataka hivyo usijione wewe ndio konki basi kutwa kutongoza na kukumbatia wahudumu wa bar.

Nimerudi hizo ndio salamu zangu.
Hujaongezea na kujiramba midomo...
 
Back
Top Bottom