Malaika wa Kifo
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 4,089
- 4,733
Una upeo mkubwa wa kufikiri....nijibu unavyoona inafaaSijui hata natakiwa nikujibuje kwa hiyo comment yako 🙁🙆
Una upeo mkubwa wa kufikiri....nijibu unavyoona inafaaSijui hata natakiwa nikujibuje kwa hiyo comment yako 🙁🙆
Hao wanawake wako wapi?Wanaume wa siku hizi ni moja ya viumbe wa hovyo sana sijapata kuona.
Wanaume wa kizazi hiki wakishavaa pensi na t-shirt zao za form six, wakimiliki simu mbili kubwa na funguo za IST basi anajiona maisha yote kamaliza, mbwembwe kibao kwenye mabar wakibugia serengeti lite, akili kichwani zero vitambi kama mimba za panya hakuna jambo lolote wanaloweza kuwaza nje ya box.
Badilikeni wanaume kumiliki vitakataka hivyo usijione wewe ndio konki basi kutwa kutongoza na kukumbatia wahudumu wa bar.
Nimerudi hizo ndio salamu zangu.
KokorikoooooUkiona manyoya
Jogoo amewikaKokorikooooo
Baba yako pia atakuwa takataka pia..Wanaume wa siku hizi ni moja ya viumbe wa hovyo sana sijapata kuona.
Wanaume wa kizazi hiki wakishavaa pensi na t-shirt zao za form six, wakimiliki simu mbili kubwa na funguo za IST basi anajiona maisha yote kamaliza, mbwembwe kibao kwenye mabar wakibugia serengeti lite, akili kichwani zero vitambi kama mimba za panya hakuna jambo lolote wanaloweza kuwaza nje ya box.
Badilikeni wanaume kumiliki vitakataka hivyo usijione wewe ndio konki basi kutwa kutongoza na kukumbatia wahudumu wa bar.
Nimerudi hizo ndio salamu zangu.
Wivu huo tafuta na wewe uning'inize hata funguo wa bajaji.Wanaume wa siku hizi ni moja ya viumbe wa hovyo sana sijapata kuona.
Wanaume wa kizazi hiki wakishavaa pensi na t-shirt zao za form six, wakimiliki simu mbili kubwa na funguo za IST basi anajiona maisha yote kamaliza, mbwembwe kibao kwenye mabar wakibugia serengeti lite, akili kichwani zero vitambi kama mimba za panya hakuna jambo lolote wanaloweza kuwaza nje ya box.
Badilikeni wanaume kumiliki vitakataka hivyo usijione wewe ndio konki basi kutwa kutongoza na kukumbatia wahudumu wa bar.
Nimerudi hizo ndio salamu zangu.
Wee kigovi uwe na adabu don't call stupid kama huwezi kutumia lugha ya kiungwana soma na upite there is no necessity of commenting.Umeamua sasa kumdhalilisha huku mitandaoni how stupid!.What kind of a father are you!
mtoe boyfriend wangu hana simu mbili wala IST. Ila wengine wote ni ovyo kama ulivosema mtoa mada [emoji23][emoji23][emoji23]