Wanaume wa miaka hii ni hasara tupu

Wanaume wa miaka hii ni hasara tupu

Wanawake mkisha zalishwa mkaachwa basi hasira zote mnamalizia kwetu wanaume wote,ndo mana mna kashifiwa coz mna mambo ya kipuuzi,wew mambo yetu yana kuhusu nin😞😞
hapendi tuvae pensi na form six labda anataka kutangaza biashara ya nguo hapa tutulie tu ataleta matangazo ya kuuza nguo kwenye hii siredi
 
Wanaume wa siku hizi ni moja ya viumbe wa hovyo sana sijapata kuona.

Wanaume wa kizazi hiki wakishavaa pensi na t-shirt zao za form six, wakimiliki simu mbili kubwa na funguo za IST basi anajiona maisha yote kamaliza, mbwembwe kibao kwenye mabar wakibugia serengeti lite, akili kichwani zero vitambi kama mimba za panya hakuna jambo lolote wanaloweza kuwaza nje ya box.

Badilikeni wanaume kumiliki vitakataka hivyo usijione wewe ndio konki basi kutwa kutongoza na kukumbatia wahudumu wa bar.

Nimerudi hizo ndio salamu zangu.
duu ila ngoja nikusifie una miguu mizurii bibiee
 
Pole sana kwa yaliyokukuta[emoji23][emoji23][emoji23] tatizo lako ulikuwa unataka wanaume wene IST[emoji23][emoji23]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nasema hiviii, acha kujimwambafai


Wewe mwanamke Leo umeamka na Mimi?

Unajitutumua tu muone..
 
Back
Top Bottom