Una washwawashwa wewe,sio bure.Wanaume wa siku hizi ni moja ya viumbe wa hovyo sana sijapata kuona.
Wanaume wa kizazi hiki wakishavaa pensi na t-shirt zao za form six, wakimiliki simu mbili kubwa na funguo za IST basi anajiona maisha yote kamaliza, mbwembwe kibao kwenye mabar wakibugia serengeti lite, akili kichwani zero vitambi kama mimba za panya hakuna jambo lolote wanaloweza kuwaza nje ya box.
Badilikeni wanaume kumiliki vitakataka hivyo usijione wewe ndio konki basi kutwa kutongoza na kukumbatia wahudumu wa bar.
Nimerudi hizo ndio salamu zangu.
Wivu hakuna cha ukweli wowote waambie wazazi wako pia wanunue!Kuna kama ka ukwelu vile,wakati mwingine ka IST kenyewe ka wazazi
Wanaume wa siku hizi ni moja ya viumbe wa hovyo sana sijapata kuona.
Wanaume wa kizazi hiki wakishavaa pensi na t-shirt zao za form six, wakimiliki simu mbili kubwa na funguo za IST basi anajiona maisha yote kamaliza, mbwembwe kibao kwenye mabar wakibugia serengeti lite, akili kichwani zero vitambi kama mimba za panya hakuna jambo lolote wanaloweza kuwaza nje ya box.
Badilikeni wanaume kumiliki vitakataka hivyo usijione wewe ndio konki basi kutwa kutongoza na kukumbatia wahudumu wa bar.
Nimerudi hizo ndio salamu zangu.
Jua kamezwaUkiona manyoya
Wasipoelewa hapa basi hawataelewa tena!!
Hivi Joanah, ukweli huwa unakusaidia nini[emoji23][emoji23]Wanaovaa pensi na form six t shirts wameelewa na wamesoma uzi wako na kupita kimya
Hawa wanaobisha hawavai pensi,hawamiliki IST wala hawana simu mbili