Valentina
R I P
- Oct 12, 2013
- 24,688
- 28,834
Pambano lishaisha mbonaHata pambano halijaanza umeshatangaza matokeo?
Pambano lishaisha mbonaHata pambano halijaanza umeshatangaza matokeo?
Cheki wala vumbi walivyokimbizana kama nyumbu ili tu walitie jichoni gari la Obama...
Hahahahahha man you are a savage..
Hahahaa....what is my savagery? All I did was post a video.
Here is another one of George W. Bush when he was in Arusha.
Hahahahha next Donald in Mtwara.. We will line as well..
Ila Mkuu hivi POTUS akitoka DC kwenda Arizona huwa hawakimbizani kumshangaa?? Hehehe
Chaputa inakuhusu.Yes ndo hivo ni kuhamisha hisia tu mana hakuna namna
Sasa huyo central London imekujaje hapa tena?Naelewa...
Its hard to believe. Ivi madem wakibongo unawaelewa lakini ??
Ivi unafkiri mfano msomi mwenye mpaka MSc mwenye kibarua bank ana push ki IST sijui Spacio utamlinganisha na msela anayekaa masaki ana push beema au autobiography ya mshua wake ??
Ivi yan kabisa unafkiri watakua wanang'oa madem wa standard sawa ?? Niulize chochote kuhusu Central London nikujibu.
Dude we ngoja wakugongee dem wako utakuja kunielewa.
Wewe si unaishi kwa Caneron au?Kuna watu wana imaginations za ajabu kweli ikiwemo wewe mwenyewe.
Hujui kama mimi ni Mmarekani au la. Huwezi kulithibitisha hilo.
Hivyo acha kutoa kauli za maazimio!
Wewe si unaishi kwa Caneron au?
Yule Kaneroni ambaye anataka wanaume waowane,simwiti Cameron kwa sababu amepungua hadhi.Caneron ndo nani?
Yule Kaneroni ambaye anataka wanaume waowane,simwiti Cameron kwa sababu amepungua hadhi.
Yashapita hayo achana nayo.Sasa huyo central London imekujaje hapa tena?
Alright boss.Yashapita hayo achana nayo.
lazima tuwashobokeee

Na wanawake wa Marekani je?
Pambano lishaisha mbona
HeheheYani hata mimi sielewi wanawake wakitanzania. nafikiri kwasababu nimekaa huku miaka yangu yote ya secondary mpaka chuo. Lakini hata nilivyorudi mwaka 2014 ilikuwa ukiongea tu wakasikia kiswahili chako kibaya au kingereza cha kimarekani wanaanza kutabasamu. Lakini the one girl niliyekua nampenda kabla ya kuondoka tanzania 2007 nilivyorudi akani claim kama mali yake yani. Hehe lakini alisema pia mwili na uso wangu una mvuto. Hata cousin wangu aliniambia mademu wa huku watakupenda sikumuelewa. Labda wanatafuta viza na wao wanfikiri wote tuna green card wangejua na sisi tunategemea viza ya shule hehe wangeshangaa. Marekani siyo mbinguni huku ni kazi tu sivyo utajikuta homeless