Wanaume wa Marekani mna nini?

Wanaume wa Marekani mna nini?

Ok kumbe zinatengenezwa Asia kama za Kariakoo.

Kinachotengenezwa Asia kwa teknolojia na standards za US ni tofauti na zinazotengenezwa Asia kwa standard za Asia. Za kkoo zinatengenezwa Asia kwa standard za Asia.
Ndo maana Toyota zinazokuja Afrikani tofauti na zinazoenda EU & US. Standards zinatofautiana.
 
Yaani bahati mbaya sijawahi ona mtu aliyetoka USA nikajua kama wana sumaku au, nikibahatika basi nitakujaga kukujibu.

Kwa mtazamo tuu ulimbukeni unachangia hapo kwa kiasi kikubwa
 
Kinachotengenezwa Asia kwa teknolojia na standards za US ni tofauti na zinazotengenezwa Asia kwa standard za Asia. Za kkoo zinatengenezwa Asia kwa standard za Asia.
Ndo maana Toyota zinazokuja Afrikani tofauti na zinazoenda EU & US. Standards zinatofautiana.

Ndo maana sijawahi ona Toyota Spacio, Noah, Vitz, Duet, wala IST Marekani.
 
Hapo kwenye mawasiliano umenena,mwingine unachart nae ni kama unalazimisha,msg zake kifupifupi unahamu ya kuchart nae lakini ye wala haoni uzito hapo akitokea wa kukupa company ndio hivo unaanza kuhamisha hisia taratibu

Watu wanatafuta $$$ mama, inawezekana boredom ikamfanya mtu kutaka kuchat mda mwingi. Kuna watu huko mbelez wanafanya kazi 16hrs. Huo mda wa kuchat anautoa wapi. Akishika simu dk chache usingizi huo...

Kama una mtu mbelez na wewe unahitaji akupe mda wake, pesa zake naamini utashindwa coz wengi wao wanafanya kazi mda mwingi.
 
Watu wanatafuta $$$ mama, inawezekana boredom ikamfanya mtu kutaka kuchat mda mwingi. Kuna watu huko mbelez wanafanya kazi 16hrs. Huo mda wa kuchat anautoa wapi. Akishika simu dk chache usingizi huo...

Kama una mtu mbelez na wewe unahitaji akupe mda wake, pesa zake naamini utashindwa coz wengi wao wanafanya kazi mda mwingi.
Sasa ni heri huyo aliebize inaeleweka yuko bze. Mtu yuko online kabisa huyo atasema ni ubze?
 
US ni US tu. Hata hao China wameshakuwa juu kibiashara duniani lakini wanajazana US kubeba box.

Hahahaaa hao wako wengi kichizi US.

Chinese restaurants kwa mfano zipo karibu kila kona ya US.

Hadi 'China towns' zipo.

Nina uhakika kuwa US kuna Chinese immigrants wengi [kwenye mamilioni] kuliko ambavyo China kuna American immigrants.
 
Hahahaaa hao wako wengi kichizi US.

Chinese restaurants kwa mfano zipo karibu kila kona ya US.

Hadi 'China towns' zipo.

Nina uhakika kuwa US kuna Chinese immigrants wengi [kwenye mamilioni] kuliko ambavyo China kuna American immigrants.

Kabisa.

Kuna baadhi ya 'touch' za kijanja zipo US ila hazipo huko Uchina ndio maana wanakimbilia US. Kwanin wasibaki kwao kutumia hizo fursa?
Mambo mengi sana yanavumbuliwa US na EU ila wengine wanakopi au kureverse teknolojia.
Huyo Alibaba ameiga toka kwa kina Jeff Bezos na kina Ebay.
 
teh teh teh ila wewe jamaa wewe..

Hahaaaa kwani veepee? Na wewe unanikubali kimya kimya?

Nawe huwa una Google madini niyaandikayo humu eh?

Google na hii basi...Johnston & Murphy....

USA baby
upload_2016-6-16_9-4-59.png
upload_2016-6-16_9-5-0.png
upload_2016-6-16_9-5-1.png
upload_2016-6-16_9-5-1.png
upload_2016-6-16_9-5-2.png
upload_2016-6-16_9-5-2.png
upload_2016-6-16_9-5-3.png
upload_2016-6-16_9-5-6.png
upload_2016-6-16_9-5-6.png
upload_2016-6-16_9-5-7.png
 
Back
Top Bottom