Wanaume wa Marekani mna nini?

Wanaume wa Marekani mna nini?

Hauna means za kuthibitisha jinsi yangu.

Halafu, hapa ndo unahesabu umekwaruzana? Jaribu kukwaruzana nikupe kichambo cha haki kama hujafuta kauli yako ... 'wote niliokuwaruzana tena vibaya mno ndio walikuja kuwa marafiki'.

Kwa taarifa yako wengine JF tunakuja kupata news and knowledge, sio marafiki. So just you know.

Hahahahaha hiyo inaitwa sucker punch.. Jamaa anatafuta marafiki JF?? He must be really boring in real life hehehe
 
Hilo sijui.

Hapo nilichokuwa narejea ni lile tukio la watu kuweka nakala ya pasi ya Le Mutuz kule jukwaa la Celebrities.

Imagine yangu ikiwekwa....

Ila hata ikiwekwa, watakaoumbuka ni wengi mno.

Sura zitawashuka shuuuuu.

Maana watakachoona sicho walichokuwa wakikidhania.

Lakini kamwe haitoweza kutokea....

Watu watashushuka kwamba wewe ni Hasheem Thabeet au sio hehehe
 
Pia imeandikwa msiache kukusanyika kwenye nyumba za ibada kama ilivo desturi
Hapo ndipo utakapojua bibkia ni kamba tupu.

It is not what is written, it us how you use it.

Hapa utaambiwa "Haraka haraka haina baraka", pale utaambiwa "Ngoja ngoja huumiza matumbo".

Kama unataka muongozo kwenye maandiko tu utabaki hujui cha kufuata.

The book is all over the place.
 
Hapo ndipo utakapojua bibkia ni kamba tupu.

It us not what us written, it us how you use it.

Hapa utaambiwa "Haraka haraka haina baraka", pale utaambiwa "Ngoja ngoja huumiza matumbo".

Kama unataka muingozo kwenye maandiko tu utabaki hujui cha kufuata.

The book is all over the place.
Ha haa huishiwi utetezi wewe msukuma. Hebu njoo tuimbe mapambio bhana
 
Hapo ndipo utakapojua bibkia ni kamba tupu.

It us not what us written, it us how you use it.

Hapa utaambiwa "Haraka haraka haina baraka", pale utaambiwa "Ngoja ngoja huumiza matumbo".

Kama unataka muingozo kwenye maandiko tu utabaki hujui cha kufuata.

The book is all over the place.
We ni kiboko
 
Back
Top Bottom